Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
๐๐๐๐ na usiku napiga show kibabeSema kweli
๐๐๐๐ na usiku napiga show kibabeSema kweli
Na kidhungu kabisa.... Asante kwa kukazia๐ค !That's true
Huyo hela ataenda kununulia msosi abadili diet, asipewe tenda๐Kwa kuwa kazi ya Ujenzi ni shirikishi basi nitatoa gharama zote za Ujenzi alafu kazi ya kusimamia ubora nitamwachia mshamba_hachekwi , akichakachua sementi juu yake ๐ ๐
Tutahitaji evidence ili tujiridhishe, sio kwa msosi huo๐๐๐๐๐ na usiku napiga show kibabe
Kwanza kwanini hajajenga hadi leo?Nasubiria kuona majibu yake kuhusu hili ๐
Itabidi nimwambie mshamba_hachekwi aje arekod ushahid ๐๐Tutahitaji evidence ili tujiridhishe, sio kwa msosi huo๐
nakupenda pia mwaaaa ๐Kwanza kwanini hajajenga hadi leo?
Mambo ya kujibana bana kwenye nyumba za kupanga me sijazoea
Kumbe tupo wengi tunaotembea kwa daladala na amsemi ili tungojeane kituoni vibaya
Shanga kama shanga hahaha... sijui kwanini nimecheka sana hapo kwenye shanga/ cheni!Hahaha...............Hongera kulimaliza ๐ค
Vizinga mfululizo, nimesikia vinamaliza nguvu za kiume.
Sisi Wazee, miaka yetu hatukuwa na Vizinga. Sana sana ukienda Gulioni siku ya Mnada, utamnunulia mpenzi wako nguo ya ndani au Shanga kama zawadi ๐๐๐
Umeongea point nzuri sana!Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.
Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that๐ซฐ๐พ????๐๐
I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela ๐ฏ, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.
Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!๐ต๐ซค
Hata stendi ya Magufuli Mtalala au sio ? ๐๐๐Kodi sio muhimu sana totoo
Ukifika Makumbusho ni PM basi
Hahaha..........sijui Mjukuu wangu ameandika nini tena hapa, unajua nilimwachia simu yangu akicheza game ๐ ๐๐๐๐Shanga kama shanga hahaha... sijui kwanini nimecheka sana hapo kwenye shanga/ cheni!
๐ ๐ ๐๐๐๐Kwanza kwanini hajajenga hadi leo?
Mambo ya kujibana bana kwenye nyumba za kupanga me sijazoea
Nimekumbuka zile cheni ulokua unamtumia mjuu wako humu simkumbuki jina achague babuu๐๐๐ค ๐ค !!Hahaha..........sijui Mjukuu wangu ameandika nini tena hapa, unajua nilimwachia simu yangu akicheza game ๐ ๐๐๐๐
Hahaha...........๐Huyo hela ataenda kununulia msosi abadili diet, asipewe tenda๐
Nahisi hata hiyo comment atakuwa aliandika huyo Mjukuu wangu tu ๐คชNimekumbuka zile cheni ulokua unamtumia mjuu wako humu simkumbuki jina achague babuu๐๐๐ค ๐ค !!
Hana hela huyo ndio shida ๐Hahaha...........๐
Dogo mshamba_hachekwi fanya ukipata boom umtoea out Mjukuu wangu ili aanze kuizoea hela yako ๐
Utakufa imesimama babuuu hahahaaa.... kulaaa maishaaa furahiaa pesa yako kwaraha zakoo ๐๐๐ค !!Nahisi hata hiyo comment atakuwa aliandika huyo Mjukuu wangu tu ๐คช
Ila miaka yetu ilikuwa raha ujue ๐๐๐