Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20230522_155326_584.jpg
IMG_20230522_155216_572.jpg
 
Hahaha...............Hongera kulimaliza ๐Ÿค—

Vizinga mfululizo, nimesikia vinamaliza nguvu za kiume.

Sisi Wazee, miaka yetu hatukuwa na Vizinga. Sana sana ukienda Gulioni siku ya Mnada, utamnunulia mpenzi wako nguo ya ndani au Shanga kama zawadi ๐Ÿ™ˆ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
Shanga kama shanga hahaha... sijui kwanini nimecheka sana hapo kwenye shanga/ cheni!
 
Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.

Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that๐Ÿซฐ๐Ÿพ????๐Ÿ™„๐Ÿ™„

I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela ๐Ÿ’ฏ, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.

Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!๐Ÿ˜ต๐Ÿซค
Umeongea point nzuri sana!
 
Shanga kama shanga hahaha... sijui kwanini nimecheka sana hapo kwenye shanga/ cheni!
Hahaha..........sijui Mjukuu wangu ameandika nini tena hapa, unajua nilimwachia simu yangu akicheza game ๐Ÿ˜…๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Nimekumbuka zile cheni ulokua unamtumia mjuu wako humu simkumbuki jina achague babuu๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿค ๐Ÿค !!
Nahisi hata hiyo comment atakuwa aliandika huyo Mjukuu wangu tu ๐Ÿคช

Ila miaka yetu ilikuwa raha ujue ๐Ÿ™ˆ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Back
Top Bottom