Nasubiria kwa hamu
Mie kitu foleni ndio siwezagiiii kabessaaaaa mwenzioo nikiona dalili tu ya jam huyoo !! Yani dalili tyuuu ni sijiulizi mara mbili🙌🙌🙌🙌🙌!!Kuna nn huko 😀 mbona haya ya kwangu dear au hauamini nduguyako nipo kwenye foleni 😂😂
Usinifanyie hivyo wakwetuNdevu zimeonekana 😂😂😂
Hiyo hamu iambie iondoke tu isisubiri
Usinifanyie hivyo wakwetu
Foleni zinaua mapema ila si tunakuwa hatujui kipenz ukishtuka ni WA 456Mie kitu foleni ndio siwezagiiii kabessaaaaa mwenzioo nikiona dalili tu ya jam huyoo !! Yani dalili tyuuu🙌🙌🙌🙌🙌!!
Bora nipambane naharee yangu kwakweli!
Kiswahili unakijua sana eeh😅Au sijakuelewa unasubiri picha bila imoji kwa hamu. Sasa hapo kwa hamu ndio wapi ??? 😆
Mdau selfika kwanzaOyaaaa wadau wa huu uzi kuweni Wastaarabu basi . Tuwapokee wageni wapya kwa ustaarabu basi. Mnamchomfanyia Inspire You sio haki kabisaa 😆😆😆😆
Mie nina mambo yangu kibao yananichanganya akili kwakichwa foleni nazo zinichanganyee aseee haipigo hiooo!Foleni zinaua mapema ila si tunakuwa hatujui kipenz ukishtuka ni WA 456
Mwalimu soka Kuna nn huko dear mbona sijasikiaga hii
Mdau selfika kwanza
Tatizo mie Ambae Sina foleni comment zangu ndefu ndefu cc AaliyyahMie nina mambo yangu kibao yananichanganya akili foleni nazo zinichanganyee aseee haipigo hiooo!
Wee mbona asubuhi nilikutag kabisa ni story ya mauzauzaa anayofanyiwa mwalimu soka huko kijiji cha msisi wa msisiri!
Umezingua bana!!! Dili lilisha✔️ kabisa 😵Nakutania mkuu.
haha wewe Huyo uleweee!🤣🤣🤣Nikilewa napiga sana kizungu🤣🤣
Kumbe lilikuwa dili?Umezingua bana!!! Dili lilisha✔️ kabisa 😵