mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,298
- 72,028
mzee wangu huyo kashanielewa.... nipe baraka yakoHahaha...........😅
Dogo mshamba_hachekwi fanya ukipata boom umtoea out Mjukuu wangu ili aanze kuizoea hela yako 😅
mzee wangu huyo kashanielewa.... nipe baraka yakoHahaha...........😅
Dogo mshamba_hachekwi fanya ukipata boom umtoea out Mjukuu wangu ili aanze kuizoea hela yako 😅
Lakini ulimuhaidi utampenda kwenye shida na raha, tabu na mateso 😅😅Hana hela huyo ndio shida 😅
Mi Hadi Airtime naomba bana wee nahela zako utajua mwenyewee!! 😂😂😁😁🤠!Mwanaume majukumu lakini kizazi hiki kimezidi na vizuri kuomba unanpa muda na mwenzio kufanya majukumu yake mengine sio daily kiukweli inaboa
Me nilimwambia asome tu kwanza, hayo mengine aachie wakubwa zake 😂 maana yako nje ya uwezo wakeLakini ulimuhaidi utampenda kwenye shida na raha, tabu na mateso 😅😅
acha tu mzee wangu akiweka picha humu moyo wangu una-burst 😂Lakini ulimuhaidi utampenda kwenye shida na raha, tabu na mateso 😅😅
Umri huu sio rahisi Mjukuu🙌Utakufa imesimama babuuu hahahaaa.... kulaaa maishaaa furahiaa pesa yako kwaraha zakoo 😁😁🤠!!
Mjukuu wangu ni muelewa, najua anafikiria ombi lako 😅acha tu mzee wangu akiweka picha humu moyo wangu una-burst 😂
😆 lakini amesema boom likitoka atakupa loteMe nilimwambia asome tu kwanza, hayo mengine aachie wakubwa zake 😂 maana yako nje ya uwezo wake
Usione vyaelea totoo 😅acha tu mzee wangu akiweka picha humu moyo wangu una-burst 😂
Kila la kheri Mkuu, muhimu ukamtunze Mjukuu wangu 🙏mzee wangu huyo kashanielewa.... nipe baraka yako
Sasa maisha gani ya kutegemea boom babu, si nitapauka mie na kanikuta nashine😆 lakini amesema boom likitoka atakupa lote
Anitunze wa hela gani, aku me sitaki 🤣Kila la kheri Mkuu, muhimu ukamtunze Mjukuu wangu 🙏
ukiskia nimekunywa sumu ndo utafurahi😂Sasa maisha gani ya kutegemea boom babu, si nitapauka mie na kanikuta nashine
Atanikondesha nguo zangu zianze kunipwaya bure
Hapo tu ndio hamna ujanjaaa! Nahela zako zoteee 😁😁😁😁🤠🤠🤠🤠! Ndio uwege unakua na wanawake wanaoghughulikaa wanaojituma kuifanya isimame harakaa na ku last longer ka uvosema hapooo azawaizi hutafurahia pesa yakooo😁😁😁😂🤠Umri huu sio rahisi Mjukuu🙌
Unaweza kuta unaomba isimame kuanzia Kimara mwisho lakini inaenda kusimama kituo cha Kwa Ndevu kule Tegeta 🙊🏃🏃🏃
Anaelekea kukuelewa, endelea kumbembeleza tu. Usisahau kumtumia hela ya Bando la Mwezi 1 boom likitokaukiskia nimekunywa sumu ndo utafurahi😂
Hahaha unywe sumu na course work umuachie naniukiskia nimekunywa sumu ndo utafurahi😂
Salama kabisa, unaendeleaje ?kwema boss.... vipi na wewe
vizuri, tunaenda kibishibishiSalama kabisa, unaendeleaje ?
So hapo katikati kabla boom halijatoka nitapata wapi vocha babuAnaelekea kukuelewa, endelea kumbembeleza tu. Usisahau kumtumia hela ya Bando la Mwezi 1 boom likitoka
Hahaha...........Mimi nimebaki kushauri tu Vijana, mambo hayo Wazee hatuyawezi kabisa Mjukuu 😅Hapo tu ndio hamna ujanjaaa! Nahela zako zoteee 😁😁😁😁🤠🤠🤠🤠! Ndio uwege unakua na wanawake wanaoghughulikaa wanaojituma kuifanya isimame harakaa na ku last longer ka uvosema hapooo azawaizi hutafurahia pesa yakooo😁😁😁😂🤠