Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
hahahaWatakuja tu 😁😁
hahahaWatakuja tu 😁😁
Sio Wanawake wote wako na akili kama zako, wengi hata akiwa na kipato chake still atataka mwenye zaidi.Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.
Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that🫰🏾????🙄🙄
I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela 💯, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.
Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!😵🫤
Nimemkumbuka yule dogo wa siku ileSaint Anne
Mkaka mnukia pafyumu pambee anakusalimia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu atafanya nkazururee nae venue, sasa naogopa mkaka wa masters atanionaa. Afu itakua jau.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha...............Hongera kulimaliza 🤗Deni la bodi ya mkopo🤣🤣🤣😂!!
Umenikumbuka deni lao namaliza mwakahuu hapo kati walii mbona nitasherekeaa!!
laki na 48 sio padogooo!!
Mizinga inawakata stimuuu sana😁😁😄!!
😅😅 banaa wewe acha tuishi tu, ya walimwengu ni mengi sana.. sema kuna wanawake wana mizingaa ukipwa hadi kichwa kinawasha.. unasikia baby nipangishie masaki mie sipendi mafujo alafu ninunulie gari ya kazini hii nimeishoka.. hiyo kodi ya masaki sasa .. mpewe tuzo kwakweliKufaidika lazima, hilo halipingiki hata kidogo. Issue ni faida gani mtu anayoangalia....😏
Kila mtu anaingia kwenye mahusiano akijua kuna kitu atapata in return for what she/he gives.
Tabu inaanza ukidondokea kwa wale users & takers. Mwanamke/mwanaume anaetegemea wewe umtatulie matatizo yake ya kifedha wakati yeye hata siku moja hawezi kukusaidia wewe hata kwa nusu ya unayomsaidia wewe, na ambae ukitetereka kidogo anakukimbia wa nini sasa??
Labda muwe na mkataba wa kibiashara na sio mdanganyane mpo kwenye mahusiano ya kimapenzi.
😅😅hahaha
Nakazia hiyo statement ya mwishoKuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.
Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.
Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka 🙌
Unajiuliza mbona huyu Kaka hajaoa hadi umri huu, kumbe mwenzenu alikosa hela hivyo hana budi kubaki single again kama Harmonize 😅🏃🏃🏃Nakazia hiyo statement ya mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkaka ananukiaa pambeee huyuu, nimemuuliza anatumia product ipi, kakataa kunitajia ila kasema atanijia na pafyumu enyewee nione live.Nimemkumbuka yule dogo wa siku ile
I wish kangekuwa kadogo kangu.
Msalimie sana,
Huyo nikikutana naye kama nilitembea na marashi,namzawadia bure.
It's really sad, ila ndio jamii tunayoitengeneza sisi wenyewe kwahiyo tuendelee kufurahia matokeo yake I guess! Ngoja niendelee kumfundisha dogo kuepuka "marafiki" wanaopenda kwa msimu baadae asipate shida.Sio Wanawake wote wako na akili kama zako, wengi hata akiwa na kipato chake still atataka mwenye zaidi.
Nimewahi kushuhudia hili kwenye ndoa 4, sio Mahusiano. Yaani ndoa kabisa
Mwanamke ana kipato chake, lakini majukumu yote ya ndani ni ya Mwanaume. Na ikitokea Mwanaume ameishiwa kabisa, basi Atakopeshwa na mkewe then Mwisho wa Mwezi atarudisha.
Mwanamke wa namna hii, akikutana na Wanaume wenye hela ataendelea kukumbutania Mwanaume Kapuku!
Bahati nzuri, Umri umenitupa Mkono sipo kwenye mahusiano ya hivyo 🤪🙌🏃🏃
Sawasawaokay jirani
nasubiri
Wacha weee Cocah huyoooh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkaka ananukiaa pambeee huyuu, nimemuuliza anatumia product ipi, kakataa kunitajia ila kasema atanijia na pafyumu enyewee nione live.
Woiiiiiiih kasema bei imechangamka kdogo.
Kesho ntamsalimia maana tumeachana sio mda, yeye karudi zake home.
🤣🤣🤣😅😅 banaa wewe acha tuishi tu, ya walimwengu ni mengi sana.. sema kuna wanawake wana mizingaa ukipwa hadi kichwa kinawasha.. unasikia baby nipangishie masaki mie sipendi mafujo alafu ninunulie gari ya kazini hii nimeishoka.. hiyo kodi ya masaki sasa .. mpewe tuzo kwakweli
Hahaha.......................ukipiga mahesabu wewe mwenyewe bado hujajenga, kwa kweli ni maumivu 🙆Mie mwenyewe nilipata mchepuko, si ukaniambia ili uzae na mie niujengeee nyumba, nilitaka kuchanganya damu na kuacha chata maana niliielewa sana sana damu yake na ukoo wake nikasema acha nijilipue tu 😅😅😅.. ila ilipofika hapo pa kujenga nikaona hii kesi nzito sanaaaa sijawa fisadi bado
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada mbna nusu nianze kujilipuaaa?? Kwanza nkaamua kumkimbia kusudi ili mambo yasiwe mengi.Wacha weee Cocah huyoooh
Kwa niaba ya wapenda perfume Usituangushe sasa[emoji16]
Tulia,atakuanza mwenyewe akishaleta live perfume.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada mbna nusu nianze kujilipuaaa?? Kwanza nkaamua kumkimbia kusudi ili mambo yasiwe mengi.
Maana kuna ka kitu kwa nafsi kalikua kanashawishi niseme nae visivyohusikaaa, Akili ikastukaa nkajiepushaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuuu knoww!!!
wanatutesa sana kisaikolojia 😅😅 hayo mengine ni matusi wanatutukanaHahaha.......................ukipiga mahesabu wewe mwenyewe bado hujajenga, kwa kweli ni maumivu 🙆
Hiyo kuchanganya Damu muhimu sana, akija kukuzalia kabinti hivi karembo kama Mama yake inakuwa poa sana, kule Kijijini kwetu huyo binti unakuja kumposa kwa ng'ombe 70 au 100🏃🏃🏃
Kwa kweli Mkuu, ila inafanya kuwe na ugumu kuweza kujua napendwa kweli au amependa hizi mia 2 mbili zangu 🙌It's really sad, ila ndio jamii tunayoitengeneza sisi wenyewe kwahiyo tuendelee kufurahia matokeo yake I guess! Ngoja niendelee kumfundisha dogo kuepuka "marafiki" wanaopenda kwa msimu baadae asipate shida.
Na wewe baki zako na bibi usije huku kwa vijana wenye stress na maajabu tele!!!😶🌫️
Nozzle checking kwenye 1&2 🙂
Njoo unisaidie kuclear head Mwachiluwi View attachment 2630914Ahahaha unapiga maiti fimbo @Jack Palladino tusaidie hapa
Sema vijana wengi kinachowacost ni kushindwa kujiamini na kupenda pisi kali zenye gharama aka wadada wa mjini. Hapo lazima waisome nambaUnajiuliza mbona huyu Kaka hajaoa hadi umri huu, kumbe mwenzenu alikosa hela hivyo hana budi kubaki single again kama Harmonize 😅🏃🏃🏃