Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….. maana sina kazi bado
we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….. maana sina kazi bado
Sie walitutafuta kazini lol ukiwa serikariki huwezi kuwakwepaaa... tena Mie walichelewa kuanza kunikata two years saii ningekua nishamaliza zamani sana!!
 
Sie walitutafuta kazini lol ukiwa serikariki huwezi kuwakwepaaa... tena Mie walichelewa kuanza kunikata two years saii ningekua nishamaliza zamani sana!!
aaah! kumbe mlio na kazi ndio mna dakwa, sie majobless walikuwa wanatupanga tuwe tunapeleka hata laki moja moja.. tukasema hiyo laki ya kwiyooo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.

Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.

Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka ๐Ÿ™Œ
Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.

Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that๐Ÿซฐ๐Ÿพ????๐Ÿ™„๐Ÿ™„

I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela ๐Ÿ’ฏ, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.

Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!๐Ÿ˜ต๐Ÿซค
 
Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.

Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that๐Ÿซฐ๐Ÿพ????๐Ÿ™„๐Ÿ™„

I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela ๐Ÿ’ฏ, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.

Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!๐Ÿ˜ต๐Ÿซค
Kabisa kipenzi Bora kufanyya Kazi na kuridhika na maishayako mapenz yawe option kuwa unahitaji na mtu sio vitu vyake na tujue Hata km mtu ukamkuta ana uwezo ni wake sio wako tutafute vyetu aisee

Na always mwanaume akikuta unahitahid kujijengea uwezo binafs hawez acha kukusupoort kuliko kuwa omba omba ya vitu visivyo na maana
 
Wee Aaliyyah mi sio ya nauli na ya kutolea tyyu hadi ya kusukaa ya king'amuziii naombaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜!!
 
ni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdose

Kufaidika lazima, hilo halipingiki hata kidogo. Issue ni faida gani mtu anayoangalia....๐Ÿ˜
Kila mtu anaingia kwenye mahusiano akijua kuna kitu atapata in return for what she/he gives.

Tabu inaanza ukidondokea kwa wale users & takers. Mwanamke/mwanaume anaetegemea wewe umtatulie matatizo yake ya kifedha wakati yeye hata siku moja hawezi kukusaidia wewe hata kwa nusu ya unayomsaidia wewe, na ambae ukitetereka kidogo anakukimbia wa nini sasa??

Labda muwe na mkataba wa kibiashara na sio mdanganyane mpo kwenye mahusiano ya kimapenzi.
 
Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.

Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that๐Ÿซฐ๐Ÿพ????๐Ÿ™„๐Ÿ™„

I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela ๐Ÿ’ฏ, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.

Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!๐Ÿ˜ต๐Ÿซค
Sio Wanawake wote wako na akili kama zako, wengi hata akiwa na kipato chake still atataka mwenye zaidi.

Nimewahi kushuhudia hili kwenye ndoa 4, sio Mahusiano. Yaani ndoa kabisa

Mwanamke ana kipato chake, lakini majukumu yote ya ndani ni ya Mwanaume. Na ikitokea Mwanaume ameishiwa kabisa, basi Atakopeshwa na mkewe then Mwisho wa Mwezi atarudisha.

Mwanamke wa namna hii, akikutana na Wanaume wenye hela ataendelea kukumbutania Mwanaume Kapuku!

Bahati nzuri, Umri umenitupa Mkono sipo kwenye mahusiano ya hivyo ๐Ÿคช๐Ÿ™Œ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Saint Anne

Mkaka mnukia pafyumu pambee anakusalimia, huyu atafanya nkazururee nae venue, sasa naogopa mkaka wa masters atanionaa. Afu itakua jau.

Nimemkumbuka yule dogo wa siku ile
I wish kangekuwa kadogo kangu.

Msalimie sana,
Huyo nikikutana naye kama nilitembea na marashi,namzawadia bure.
 
Deni la bodi ya mkopo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚!!

Umenikumbuka deni lao namaliza mwakahuu hapo kati walii mbona nitasherekeaa!!
laki na 48 sio padogooo!!

Mizinga inawakata stimuuu sana๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜„!!
Hahaha...............Hongera kulimaliza ๐Ÿค—

Vizinga mfululizo, nimesikia vinamaliza nguvu za kiume.

Sisi Wazee, miaka yetu hatukuwa na Vizinga. Sana sana ukienda Gulioni siku ya Mnada, utamnunulia mpenzi wako nguo ya ndani au Shanga kama zawadi ๐Ÿ™ˆ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Kufaidika lazima, hilo halipingiki hata kidogo. Issue ni faida gani mtu anayoangalia....๐Ÿ˜
Kila mtu anaingia kwenye mahusiano akijua kuna kitu atapata in return for what she/he gives.

Tabu inaanza ukidondokea kwa wale users & takers. Mwanamke/mwanaume anaetegemea wewe umtatulie matatizo yake ya kifedha wakati yeye hata siku moja hawezi kukusaidia wewe hata kwa nusu ya unayomsaidia wewe, na ambae ukitetereka kidogo anakukimbia wa nini sasa??

Labda muwe na mkataba wa kibiashara na sio mdanganyane mpo kwenye mahusiano ya kimapenzi.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… banaa wewe acha tuishi tu, ya walimwengu ni mengi sana.. sema kuna wanawake wana mizingaa ukipwa hadi kichwa kinawasha.. unasikia baby nipangishie masaki mie sipendi mafujo alafu ninunulie gari ya kazini hii nimeishoka.. hiyo kodi ya masaki sasa .. mpewe tuzo kwakweli
 
Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.

Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.

Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka ๐Ÿ™Œ
Nakazia hiyo statement ya mwisho
 
Back
Top Bottom