Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
wimbo wa Ariana ๐๐๐mnawakumbuka milele๐
thank you next twasema ๐๐๐
wimbo wa Ariana ๐๐๐mnawakumbuka milele๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃtumewasikia.. fainali uzeeni ๐ ๐ ๐
sie hatuna maneno mengi
We subiria tu..Asante jirani
navyopenda vitu vitamu sasa
we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango ๐ ๐ ๐ .. maana sina kazi bado
Sie walitutafuta kazini lol ukiwa serikariki huwezi kuwakwepaaa... tena Mie walichelewa kuanza kunikata two years saii ningekua nishamaliza zamani sana!!we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango ๐ ๐ ๐ .. maana sina kazi bado
aaah! kumbe mlio na kazi ndio mna dakwa, sie majobless walikuwa wanatupanga tuwe tunapeleka hata laki moja moja.. tukasema hiyo laki ya kwiyooo ๐ ๐ ๐Sie walitutafuta kazini lol ukiwa serikariki huwezi kuwakwepaaa... tena Mie walichelewa kuanza kunikata two years saii ningekua nishamaliza zamani sana!!
Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.
Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.
Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka ๐
Watakuja tu ๐๐mzee mwingine aje aprove jamani ๐๐
๐ ๐๐๐๐
Kabisa kipenzi Bora kufanyya Kazi na kuridhika na maishayako mapenz yawe option kuwa unahitaji na mtu sio vitu vyake na tujue Hata km mtu ukamkuta ana uwezo ni wake sio wako tutafute vyetu aiseeObviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.
Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that๐ซฐ๐พ????๐๐
I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela ๐ฏ, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.
Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!๐ต๐ซค
okay jiraniWe subiria tu..
ni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdose
hahahaWatakuja tu ๐๐
Sio Wanawake wote wako na akili kama zako, wengi hata akiwa na kipato chake still atataka mwenye zaidi.Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.
Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that๐ซฐ๐พ????๐๐
I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela ๐ฏ, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.
Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!๐ต๐ซค
Nimemkumbuka yule dogo wa siku ileSaint Anne
Mkaka mnukia pafyumu pambee anakusalimia,huyu atafanya nkazururee nae venue, sasa naogopa mkaka wa masters atanionaa. Afu itakua jau.
![]()
Hahaha...............Hongera kulimaliza ๐คDeni la bodi ya mkopo๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐!!
Umenikumbuka deni lao namaliza mwakahuu hapo kati walii mbona nitasherekeaa!!
laki na 48 sio padogooo!!
Mizinga inawakata stimuuu sana๐๐๐!!
๐ ๐ banaa wewe acha tuishi tu, ya walimwengu ni mengi sana.. sema kuna wanawake wana mizingaa ukipwa hadi kichwa kinawasha.. unasikia baby nipangishie masaki mie sipendi mafujo alafu ninunulie gari ya kazini hii nimeishoka.. hiyo kodi ya masaki sasa .. mpewe tuzo kwakweliKufaidika lazima, hilo halipingiki hata kidogo. Issue ni faida gani mtu anayoangalia....๐
Kila mtu anaingia kwenye mahusiano akijua kuna kitu atapata in return for what she/he gives.
Tabu inaanza ukidondokea kwa wale users & takers. Mwanamke/mwanaume anaetegemea wewe umtatulie matatizo yake ya kifedha wakati yeye hata siku moja hawezi kukusaidia wewe hata kwa nusu ya unayomsaidia wewe, na ambae ukitetereka kidogo anakukimbia wa nini sasa??
Labda muwe na mkataba wa kibiashara na sio mdanganyane mpo kwenye mahusiano ya kimapenzi.
๐ ๐hahaha
Nakazia hiyo statement ya mwishoKuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.
Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.
Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka ๐
Unajiuliza mbona huyu Kaka hajaoa hadi umri huu, kumbe mwenzenu alikosa hela hivyo hana budi kubaki single again kama Harmonize ๐ ๐๐๐Nakazia hiyo statement ya mwisho