mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,315
- 72,081
dah, wacha nikuache uende nakutakia kila heri upate mubaba 😂Hahaha unywe sumu na course work umuachie nani
dah, wacha nikuache uende nakutakia kila heri upate mubaba 😂Hahaha unywe sumu na course work umuachie nani
Kawaida mkuuvizuri, tunaenda kibishibishi
Mwanaume hutakiwi kukata tamaa kirahisi, unazidi kunipa mashakadah, wacha nikuache uende nakutakia kila heri upate mubaba 😂
sasa wewe unanisukuma afu unanivuta tena😅 nifanyeje....Mwanaume hutakiwi kukata tamaa kirahisi, unazidi kunipa mashaka
Safi hioo Wazee ... mna nafasi zenuu zakipekeee sanaHahaha...........Mimi nimebaki kushauri tu Vijana, mambo hayo Wazee hatuyawezi kabisa Mjukuu 😅
Ukikua utaelewa totoo, we bado mdogosasa wewe unanisukuma afu unanivuta tena😅 nifanyeje....
kwakweli kama ukubwa ndo huu waache wanaume waendelee kujichua na kunywa sumu 😂Ukikua utaelewa totoo, we bado mdogo
😅😅 Kwa niaba ya Wazee wenzangu, tunapokea pongezi zako.Safi hioo Wazee ... mna nafasi zenuu zakipekeee sana
Hahahaha...................muelewe Kijana mwenzio Mjukuu, mbona wakina Prof Jay waliwahi kupata Zali la Mentali,So hapo katikati kabla boom halijatoka nitapata wapi vocha babu
anifanye shareholder sio🤣Hahahaha...................muelewe Kijana mwenzio Mjukuu, mbona wakina Prof Jay waliwahi kupata Zali la Mentali,
Mfanyie wepesi Dogo awe mmoja wao, manake we mwenyewe ni wa Ushuani vile vile 😅🙌
😅😅Hivohivo tuyaone ankoli banaaa😊
!
Hizo ndevu nyingi sana hadi unashindwa mfanyia vizuri mwali romance ya kidevu ankoli akee nyingi zinadusturb !!
Au ankoli wee team mwamnyeto😁😁🤠!!
Mnafungua Kampuni yenu ya Chakula pamoja, siku tukiwa na Kikao cha Kijiji tunawapa tenda ya kutuandalia Biriani.anifanye shareholder sio🤣
Aminaaaaaaaaaaaahhh!! Mbarikiwe sana!😅😅 Kwa niaba ya Wazee wenzangu, tunapokea pongezi zako.
Tunaendelea kutoa ushauri kwenu Vijana na kuongoza kwa mifano bora 🙌
muache aende tu... nijichoshe kutafuta pesa nichakae?? bora sheria mkononi 😂Mnafungua Kampuni yenu ya Chakula pamoja, siku tukiwa na Kikao cha Kijiji tunawapa tenda ya kutuandalia Biriani.
Ila mkiachana tu, Kampuni inafungwa 😅
Awe tu mpole huyo dogo 😂Hahahaha...................muelewe Kijana mwenzio Mjukuu, mbona wakina Prof Jay waliwahi kupata Zali la Mentali,
Mfanyie wepesi Dogo awe mmoja wao, manake we mwenyewe ni wa Ushuani vile vile 😅🙌
Hayo ndiyo maneno 🤗Awe tu mpole huyo dogo 😂
Hahaha.......wanasema sheria mkononi inafanya misuli kuwa legelegemuache aende tu... nijichoshe kutafuta pesa nichakae?? bora sheria mkononi 😂
🙏🙏🙏🙏Aminaaaaaaaaaaaahhh!! Mbarikiwe sana!