Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha................hiyo kujiamini ilikuwa Enzi ya Zali la Mentali, siku hizi kupata salamu ya Mwanamke mzuri lazima unukie vizuri na uning'inize funguo za baiskeli 🤪

Ukikutana na sisi Wakulima tunanukia jasho tu la shambani hata confidence ya shake hands 🤝 inapotea 🏃🏃
Mbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.
Ila nyie mnatanguliza hela, hapo sasa mnafanya tupende hela zenu kabla ya kuwapenda ninyi... yaani mnatukonfyuziiii hamjui tu😅
 
Mbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.
Ila nyie mnatanguliza hela, hapo sasa mnafanya tupende hela zenu kabla ya kuwapenda ninyi... yaani mnatukonfyuziiii hamjui tu😅
Hahahaha.................jioni nitakuwa na semina na Vijana, hoja yako lazima tutaijadili kwa kina.

Kumbe ni wao wenyewe ndiyo wanakosea, Point taken 🤝😅😅
 
Hahahaha.................jioni nitakuwa na semina na Vijana, hoja yako lazima tutaijadili kwa kina.

Kumbe ni wao wenyewe ndiyo wanakosea, Point taken 🤝😅😅
Si ndio, wao wenyewe ndio hua wanaharibu mapema.

Waambie bana wasiwe wanatuspoil sana, sometime watulishe mihogo sio kila siku wine na nyama choma😋
 
Welcom lunch
 

Attachments

  • B78D1E68-791A-46DC-910B-4BE194546F1E.jpeg
    B78D1E68-791A-46DC-910B-4BE194546F1E.jpeg
    1.1 MB · Views: 5
Back
Top Bottom