kabisa mkuuNa unataka ku drop out chuo?
Yapo kibao aisee kuna moja ni royal family kabisa linalotaka lakini sikubali hoi tabia kabisa . Acha nijipambanie mwenyewe tu maana Kijana unatakiwa uwe na uhuru. Sio kubanwa banwa na kuchungwa kama Kukumashangazi hayakamitiki skuizi😂
Unajua hili JF ni zaidi ya chuo kikuu sema basi tu watu huwa tuna stick na jukwaa moja tu. Asilimia kubwa ya mipango yangu nimeipata humu humukabisa mkuu
Mbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.Hahaha................hiyo kujiamini ilikuwa Enzi ya Zali la Mentali, siku hizi kupata salamu ya Mwanamke mzuri lazima unukie vizuri na uning'inize funguo za baiskeli 🤪
Ukikutana na sisi Wakulima tunanukia jasho tu la shambani hata confidence ya shake hands 🤝 inapotea 🏃🏃
Niliwasikia Vijana wanaongea kwenye kijiwe chetu cha kucheza bao.Ahahhahaha babu kwani nibi akutoshi
Hahahaha.................jioni nitakuwa na semina na Vijana, hoja yako lazima tutaijadili kwa kina.Mbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.
Ila nyie mnatanguliza hela, hapo sasa mnafanya tupende hela zenu kabla ya kuwapenda ninyi... yaani mnatukonfyuziiii hamjui tu😅
SawasawaEm tuone na sie tutoe maoni yetu😂
Kapicha kidogo..Mtu wa 3 huyu ananambia dogo nazingua na haka katumbo 🤣🤣
Lenie 🥹🥹🤭 aibuu
Si ndio, wao wenyewe ndio hua wanaharibu mapema.Hahahaha.................jioni nitakuwa na semina na Vijana, hoja yako lazima tutaijadili kwa kina.
Kumbe ni wao wenyewe ndiyo wanakosea, Point taken 🤝😅😅
Siwezi.Kapicha kidogo..
Natengeneza pamp. TuliAEm tuone na sie tutoe maoni yetu😂
Nitalusemea wewe ohoooNiliwasikia Vijana wanaongea kwenye kijiwe chetu cha kucheza bao.
Mimi kitambo nilistaafu Mkuu 😅🏃🏃🏃
Miss Lenie za kuambiwa changanya na za. Kwako aisee humu vidole ndio vinaongeaMbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.
Ila nyie mnatanguliza hela, hapo sasa mnafanya tupende hela zenu kabla ya kuwapenda ninyi... yaani mnatukonfyuziiii hamjui tu😅
Kamekua kakubwa jirani🤣Siwezi.
Kwani mafundi wameenda wapiNatengeneza pamp. TuliA