Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naomba nifafanulie tasavali, me kichwa changu kizito nilikimbia umande ndugu yangu
Wanaotoa ushauri wa kukufanya uwe na maisha ya mtindo fulani kumbe wenyewe maisha yao yana changamoto nyingi sana lakini kwenye kutoa ushauri wapo vizuri sana na ndio maana nakuaambia ukipewa maneno changanya na akili zako pia
 
Si ndio, wao wenyewe ndio hua wanaharibu mapema.

Waambie bana wasiwe wanatuspoil sana, sometime watulishe mihogo sio kila siku wine na nyama choma😋
Hahaha..............I wish ujengewe sanamu yako hapo City center

Wasiwasi wangu, ni kuwa utaendelea kuwa na huu msimamo hata utakapo ona boom mshamba_hachekwi limetoka 😅
 
Back
Top Bottom