Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji172]
IMG_20230522_155326_584.jpg
IMG_20230522_155216_572.jpg
 
Hahaha...............Hongera kulimaliza 🤗

Vizinga mfululizo, nimesikia vinamaliza nguvu za kiume.

Sisi Wazee, miaka yetu hatukuwa na Vizinga. Sana sana ukienda Gulioni siku ya Mnada, utamnunulia mpenzi wako nguo ya ndani au Shanga kama zawadi 🙈🏃🏃
Shanga kama shanga hahaha... sijui kwanini nimecheka sana hapo kwenye shanga/ cheni!
 
Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.

Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like that🫰🏾????🙄🙄

I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela 💯, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.

Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!😵🫤
Umeongea point nzuri sana!
 
Back
Top Bottom