Mara hii umeacha kuzurura tena ??Natengeneza pamp. TuliA
Mwanaume wa Dar katika ubora wakoWelcom lunch
Ni miongoni mwao mieKwani mafundi wameenda wapi
Kuwa na amani na Wazee 😅Nitalusemea wewe ohooo
Nilifata vifaa nikarudiMara hii umeacha kuzurura tena ??
We acha tuKamekua kakubwa jirani🤣
Kumbe una vipaji vingi mwenzetuNi miongoni mwao mie
Wanaotoa ushauri wa kukufanya uwe na maisha ya mtindo fulani kumbe wenyewe maisha yao yana changamoto nyingi sana lakini kwenye kutoa ushauri wapo vizuri sana na ndio maana nakuaambia ukipewa maneno changanya na akili zako piaNaomba nifafanulie tasavali, me kichwa changu kizito nilikimbia umande ndugu yangu
Hahaha..............I wish ujengewe sanamu yako hapo City centerSi ndio, wao wenyewe ndio hua wanaharibu mapema.
Waambie bana wasiwe wanatuspoil sana, sometime watulishe mihogo sio kila siku wine na nyama choma😋
Mjini hapa.Kumbe una vipaji vingi mwenzetu
Nijengeeni kwanza sanamu na mnipe maua yangu🥰Hahaha..............I wish ujengewe sanamu yako hapo City center
Wasiwasi wangu, ni kuwa utaendelea kuwa na huu msimamo hata utakapo ona boom mshamba_hachekwi limetoka 😅
HongeraMjini hapa.
😂😂😂😂af sijari 😂😂 na majungu yenuMwanaume wa Dar katika ubora wako
nipende hivi nilivyo boom nalipia kodi 😅Nijengeeni kwanza sanamu na mnipe maua yangu🥰
Boom la mshamba_hachekwi likitoka hahahaa tutaona itakavyokua 😂
Kodi sio muhimu sana totoonipende hivi nilivyo boom nalipia kodi 😅
Kwa kuwa kazi ya Ujenzi ni shirikishi basi nitatoa gharama zote za Ujenzi alafu kazi ya kusimamia ubora nitamwachia mshamba_hachekwi , akichakachua sementi juu yake 😅😅Nijengeeni kwanza sanamu na mnipe maua yangu🥰
Boom la mshamba_hachekwi likitoka hahahaa tutaona itakavyokua 😂
sitaki ku-bunch na masela vitu mnashare kijinga😂 mihogo yangu nakula mwenyeweKodi sio muhimu sana totoo
Sema kweli😂😂😂😂af sijari 😂😂 na majungu yenu
Nasubiria kuona majibu yake kuhusu hili 😅nipende hivi nilivyo boom nalipia kodi 😅