Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 20,261
- 49,198
πππNi kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo πππ
πππNi kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo πππ
Bei cheee msosi mzurimbona buku tu hiyo rafki yangu π
mashangazi hayakamitiki skuiziπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ukadangeee huko.
Asante jiraniSawasawa jirani, nikivuna, nikiuza tu nakununulia biscuits...
Mie mwenyewe nilipata mchepuko, si ukaniambia ili uzae na mie niujengeee nyumba, nilitaka kuchanganya damu na kuacha chata maana niliielewa sana sana damu yake na ukoo wake nikasema acha nijilipue tu π π π .. ila ilipofika hapo pa kujenga nikaona hii kesi nzito sanaaaa sijawa fisadi badoKuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.
Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.
Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka π
Deni la bodi ya mkopoπ€£π€£π€£π!!Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo πππ
tumewasikia.. fainali uzeeni π π πWengine hata haiw overdose ila mpunguze ubahili mtu mbahili tangu kuzaliwa anajifanya mwanamke anapenda Hela kumbe kichaka tu
we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango π π π .. maana sina kazi badoDeni la bodi ya mkopoπ€£π€£π€£π!!
Umenikumbuka deni lao namaliza mwakahuu hapo kati walii mbona nitasherekeaa!!
Mizinga inawakata stimuuu sanaπππ!!
wimbo wa Ariana πππmnawakumbuka mileleπ
π€£π€£π€£tumewasikia.. fainali uzeeni π π π
sie hatuna maneno mengi
We subiria tu..Asante jirani
navyopenda vitu vitamu sasa
we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango π π π .. maana sina kazi bado
Sie walitutafuta kazini lol ukiwa serikariki huwezi kuwakwepaaa... tena Mie walichelewa kuanza kunikata two years saii ningekua nishamaliza zamani sana!!we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango π π π .. maana sina kazi bado
aaah! kumbe mlio na kazi ndio mna dakwa, sie majobless walikuwa wanatupanga tuwe tunapeleka hata laki moja moja.. tukasema hiyo laki ya kwiyooo π π πSie walitutafuta kazini lol ukiwa serikariki huwezi kuwakwepaaa... tena Mie walichelewa kuanza kunikata two years saii ningekua nishamaliza zamani sana!!
Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.
Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.
Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka π
Watakuja tu ππmzee mwingine aje aprove jamani ππ
π ππππ
Kabisa kipenzi Bora kufanyya Kazi na kuridhika na maishayako mapenz yawe option kuwa unahitaji na mtu sio vitu vyake na tujue Hata km mtu ukamkuta ana uwezo ni wake sio wako tutafute vyetu aiseeObviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.
Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like thatπ«°πΎ????ππ
I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela π―, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.
Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!π΅π«€
okay jiraniWe subiria tu..
ni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdose