mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,315
- 72,081
sipati boom Manyanza nichukue hatua gani sasa 😅Boom lenyewe kiasi gani??
Nachekaa km mazuriii.
sipati boom Manyanza nichukue hatua gani sasa 😅Boom lenyewe kiasi gani??
Nachekaa km mazuriii.
That's trueNi tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
ni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdoseMaslahi yako wewe unapoingia kwenye mahusiano ni yapi???
ah wapi supu mnashindilia ili iweje😂Kuwaita ili iweje, na kazi hatuwezi kuwazidi vijana.
Mwanamke hawezi mvumilia Mwanaume anayesubiri Jogoo wake awike kwa mwaka mara 1, never 😁
Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo 🙌🏃🏃Mwanaume majukumu lakini kizazi hiki kimezidi na vizuri kuomba unanpa muda na mwenzio kufanya majukumu yake mengine sio daily kiukweli inaboa
Sawasawa jirani, nikivuna, nikiuza tu nakununulia biscuits...mvua imenyesha mwaka hiu
tunategemea mavuno ya kutosha
🤣🤣Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo 🙌🏃🏃
Wengine hata haiw overdose ila mpunguze ubahili mtu mbahili tangu kuzaliwa anajifanya mwanamke anapenda Hela kumbe kichaka tuni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdose
mnawakumbuka milele😂Hahaha tunawaombea hao sana
sema mnaishia kuachana , no offers tena 😂😂😂
😂😂😂Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo 🙌🏃🏃
Bei cheee msosi mzurimbona buku tu hiyo rafki yangu 😅
mashangazi hayakamitiki skuizi😂si ukadangeee huko.
Asante jiraniSawasawa jirani, nikivuna, nikiuza tu nakununulia biscuits...
Mie mwenyewe nilipata mchepuko, si ukaniambia ili uzae na mie niujengeee nyumba, nilitaka kuchanganya damu na kuacha chata maana niliielewa sana sana damu yake na ukoo wake nikasema acha nijilipue tu 😅😅😅.. ila ilipofika hapo pa kujenga nikaona hii kesi nzito sanaaaa sijawa fisadi badoKuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.
Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.
Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka 🙌
Deni la bodi ya mkopo🤣🤣🤣😂!!Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo 🙌🏃🏃
tumewasikia.. fainali uzeeni 😅😅😅Wengine hata haiw overdose ila mpunguze ubahili mtu mbahili tangu kuzaliwa anajifanya mwanamke anapenda Hela kumbe kichaka tu
we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango 😅😅😅.. maana sina kazi badoDeni la bodi ya mkopo🤣🤣🤣😂!!
Umenikumbuka deni lao namaliza mwakahuu hapo kati walii mbona nitasherekeaa!!
Mizinga inawakata stimuuu sana😁😁😄!!