Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Maslahi yako wewe unapoingia kwenye mahusiano ni yapi???
ni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdose
 
Mwanaume majukumu lakini kizazi hiki kimezidi na vizuri kuomba unanpa muda na mwenzio kufanya majukumu yake mengine sio daily kiukweli inaboa
Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo 🙌🏃🏃
 
ni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdose
Wengine hata haiw overdose ila mpunguze ubahili mtu mbahili tangu kuzaliwa anajifanya mwanamke anapenda Hela kumbe kichaka tu
 
Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.

Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.

Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka 🙌
Mie mwenyewe nilipata mchepuko, si ukaniambia ili uzae na mie niujengeee nyumba, nilitaka kuchanganya damu na kuacha chata maana niliielewa sana sana damu yake na ukoo wake nikasema acha nijilipue tu 😅😅😅.. ila ilipofika hapo pa kujenga nikaona hii kesi nzito sanaaaa sijawa fisadi bado
 
Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo 🙌🏃🏃
Deni la bodi ya mkopo🤣🤣🤣😂!!

Umenikumbuka deni lao namaliza mwakahuu hapo kati walii mbona nitasherekeaa!!
laki na 48 sio padogooo!!

Mizinga inawakata stimuuu sana😁😁😄!!
 
Deni la bodi ya mkopo🤣🤣🤣😂!!

Umenikumbuka deni lao namaliza mwakahuu hapo kati walii mbona nitasherekeaa!!

Mizinga inawakata stimuuu sana😁😁😄!!
we mzalendo sana shangazii.. sijalipaga deni lao na hata sina mpango 😅😅😅.. maana sina kazi bado
 
Back
Top Bottom