cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Nimemkumbuka yule dogo wa siku ile
I wish kangekuwa kadogo kangu.
Msalimie sana,
Huyo nikikutana naye kama nilitembea na marashi,namzawadia bure.



mkaka ananukiaa pambeee huyuu, nimemuuliza anatumia product ipi, kakataa kunitajia ila kasema atanijia na pafyumu enyewee nione live.Woiiiiiiih kasema bei imechangamka kdogo.
Kesho ntamsalimia maana tumeachana sio mda, yeye karudi zake home.