Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimemkumbuka yule dogo wa siku ile
I wish kangekuwa kadogo kangu.

Msalimie sana,
Huyo nikikutana naye kama nilitembea na marashi,namzawadia bure.
mkaka ananukiaa pambeee huyuu, nimemuuliza anatumia product ipi, kakataa kunitajia ila kasema atanijia na pafyumu enyewee nione live.

Woiiiiiiih kasema bei imechangamka kdogo.
Kesho ntamsalimia maana tumeachana sio mda, yeye karudi zake home.
 
Sio Wanawake wote wako na akili kama zako, wengi hata akiwa na kipato chake still atataka mwenye zaidi.

Nimewahi kushuhudia hili kwenye ndoa 4, sio Mahusiano. Yaani ndoa kabisa

Mwanamke ana kipato chake, lakini majukumu yote ya ndani ni ya Mwanaume. Na ikitokea Mwanaume ameishiwa kabisa, basi Atakopeshwa na mkewe then Mwisho wa Mwezi atarudisha.

Mwanamke wa namna hii, akikutana na Wanaume wenye hela ataendelea kukumbutania Mwanaume Kapuku!

Bahati nzuri, Umri umenitupa Mkono sipo kwenye mahusiano ya hivyo 🤪🙌🏃🏃
It's really sad, ila ndio jamii tunayoitengeneza sisi wenyewe kwahiyo tuendelee kufurahia matokeo yake I guess! Ngoja niendelee kumfundisha dogo kuepuka "marafiki" wanaopenda kwa msimu baadae asipate shida.

Na wewe baki zako na bibi usije huku kwa vijana wenye stress na maajabu tele!!!😶‍🌫️
 
mkaka ananukiaa pambeee huyuu, nimemuuliza anatumia product ipi, kakataa kunitajia ila kasema atanijia na pafyumu enyewee nione live.

Woiiiiiiih kasema bei imechangamka kdogo.
Kesho ntamsalimia maana tumeachana sio mda, yeye karudi zake home.
Wacha weee Cocah huyoooh
Kwa niaba ya wapenda perfume Usituangushe sasa😁
 
😅😅 banaa wewe acha tuishi tu, ya walimwengu ni mengi sana.. sema kuna wanawake wana mizingaa ukipwa hadi kichwa kinawasha.. unasikia baby nipangishie masaki mie sipendi mafujo alafu ninunulie gari ya kazini hii nimeishoka.. hiyo kodi ya masaki sasa .. mpewe tuzo kwakweli
🤣🤣🤣

Nimepokea kwa niaba 🏆🙂
 
Mie mwenyewe nilipata mchepuko, si ukaniambia ili uzae na mie niujengeee nyumba, nilitaka kuchanganya damu na kuacha chata maana niliielewa sana sana damu yake na ukoo wake nikasema acha nijilipue tu 😅😅😅.. ila ilipofika hapo pa kujenga nikaona hii kesi nzito sanaaaa sijawa fisadi bado
Hahaha.......................ukipiga mahesabu wewe mwenyewe bado hujajenga, kwa kweli ni maumivu 🙆

Hiyo kuchanganya Damu muhimu sana, akija kukuzalia kabinti hivi karembo kama Mama yake inakuwa poa sana, kule Kijijini kwetu huyo binti unakuja kumposa kwa ng'ombe 70 au 100🏃🏃🏃
 
Wacha weee Cocah huyoooh
Kwa niaba ya wapenda perfume Usituangushe sasa
dada mbna nusu nianze kujilipuaaa?? Kwanza nkaamua kumkimbia kusudi ili mambo yasiwe mengi.

Maana kuna ka kitu kwa nafsi kalikua kanashawishi niseme nae visivyohusikaaa, Akili ikastukaa nkajiepushaaaa.

yuuu knoww!!!
 
dada mbna nusu nianze kujilipuaaa?? Kwanza nkaamua kumkimbia kusudi ili mambo yasiwe mengi.

Maana kuna ka kitu kwa nafsi kalikua kanashawishi niseme nae visivyohusikaaa, Akili ikastukaa nkajiepushaaaa.

yuuu knoww!!!
Tulia,atakuanza mwenyewe akishaleta live perfume.
 
Hahaha.......................ukipiga mahesabu wewe mwenyewe bado hujajenga, kwa kweli ni maumivu 🙆

Hiyo kuchanganya Damu muhimu sana, akija kukuzalia kabinti hivi karembo kama Mama yake inakuwa poa sana, kule Kijijini kwetu huyo binti unakuja kumposa kwa ng'ombe 70 au 100🏃🏃🏃
wanatutesa sana kisaikolojia 😅😅 hayo mengine ni matusi wanatutukana
 
It's really sad, ila ndio jamii tunayoitengeneza sisi wenyewe kwahiyo tuendelee kufurahia matokeo yake I guess! Ngoja niendelee kumfundisha dogo kuepuka "marafiki" wanaopenda kwa msimu baadae asipate shida.

Na wewe baki zako na bibi usije huku kwa vijana wenye stress na maajabu tele!!!😶‍🌫️
Kwa kweli Mkuu, ila inafanya kuwe na ugumu kuweza kujua napendwa kweli au amependa hizi mia 2 mbili zangu 🙌

Vijana wamejaa stress za kufa mtu na kwa huu umri wangu wa Uzee presha haichelewi kupanda.

Useme kwa Vijana tunachomisi ni utundu wao tu, kuna mabinti utasema walipata 'A' somo la Biology vile wanajua kucheza na mwili wako.

Isingekuwa Mwenyekiti wa Kijiji kunikatalia kuwa shahidi ilibaki kidogo tu nimpe yule Binti shamba langu la ekari 30 liwe lake 🤪🏃🏃🏃🏃
 
Unajiuliza mbona huyu Kaka hajaoa hadi umri huu, kumbe mwenzenu alikosa hela hivyo hana budi kubaki single again kama Harmonize 😅🏃🏃🏃
Sema vijana wengi kinachowacost ni kushindwa kujiamini na kupenda pisi kali zenye gharama aka wadada wa mjini. Hapo lazima waisome namba
 
Kwa kweli Mkuu, ila inafanya kuwe na ugumu kuweza kujua napendwa kweli au amependa hizi mia 2 mbili zangu 🙌

Vijana wamejaa stress za kufa mtu na kwa huu umri wangu wa Uzee presha haichelewi kupanda.

Useme kwa Vijana tunachomisi ni utundu wao tu, kuna mabinti utasema walipata 'A' somo la Biology vile wanajua kucheza na mwili wako.

Isingekuwa Mwenyekiti wa Kijiji kunikatalia kuwa shahidi ilibaki kidogo tu nimpe yule Binti shamba langu la ekari 30 liwe lake 🤪🏃🏃🏃🏃
Ahahhahaha babu kwani nibi akutoshi
 
Sema vijana wengi kinachowacost ni kushindwa kujiamini na kupenda pisi kali zenye gharama aka wadada wa mjini. Hapo lazima waisome namba
Hahaha................hiyo kujiamini ilikuwa Enzi ya Zali la Mentali, siku hizi kupata salamu ya Mwanamke mzuri lazima unukie vizuri na uning'inize funguo za baiskeli 🤪

Ukikutana na sisi Wakulima tunanukia jasho tu la shambani hata confidence ya shake hands 🤝 inapotea 🏃🏃
 
Back
Top Bottom