Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kweli Mkuu, ila inafanya kuwe na ugumu kuweza kujua napendwa kweli au amependa hizi mia 2 mbili zangu 🙌

Vijana wamejaa stress za kufa mtu na kwa huu umri wangu wa Uzee presha haichelewi kupanda.

Useme kwa Vijana tunachomisi ni utundu wao tu, kuna mabinti utasema walipata 'A' somo la Biology vile wanajua kucheza na mwili wako.

Isingekuwa Mwenyekiti wa Kijiji kunikatalia kuwa shahidi ilibaki kidogo tu nimpe yule Binti shamba langu la ekari 30 liwe lake 🤪🏃🏃🏃🏃
Ahahhahaha babu kwani nibi akutoshi
 
Sema vijana wengi kinachowacost ni kushindwa kujiamini na kupenda pisi kali zenye gharama aka wadada wa mjini. Hapo lazima waisome namba
Hahaha................hiyo kujiamini ilikuwa Enzi ya Zali la Mentali, siku hizi kupata salamu ya Mwanamke mzuri lazima unukie vizuri na uning'inize funguo za baiskeli 🤪

Ukikutana na sisi Wakulima tunanukia jasho tu la shambani hata confidence ya shake hands 🤝 inapotea 🏃🏃
 
Hahaha................hiyo kujiamini ilikuwa Enzi ya Zali la Mentali, siku hizi kupata salamu ya Mwanamke mzuri lazima unukie vizuri na uning'inize funguo za baiskeli 🤪

Ukikutana na sisi Wakulima tunanukia jasho tu la shambani hata confidence ya shake hands 🤝 inapotea 🏃🏃
Mbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.
Ila nyie mnatanguliza hela, hapo sasa mnafanya tupende hela zenu kabla ya kuwapenda ninyi... yaani mnatukonfyuziiii hamjui tu😅
 
Mbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.
Ila nyie mnatanguliza hela, hapo sasa mnafanya tupende hela zenu kabla ya kuwapenda ninyi... yaani mnatukonfyuziiii hamjui tu😅
Hahahaha.................jioni nitakuwa na semina na Vijana, hoja yako lazima tutaijadili kwa kina.

Kumbe ni wao wenyewe ndiyo wanakosea, Point taken 🤝😅😅
 
Back
Top Bottom