Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 20,261
- 49,198
🤣🤣🤣Aunt kama shangazi na Shangaz nae baba 🤣🤣nzuri sana kupewa hela, hata mie hapa nina wish kupewa hata ka bilion hivi 😅😅 nitatue changamoto zangu
🤣🤣🤣Aunt kama shangazi na Shangaz nae baba 🤣🤣nzuri sana kupewa hela, hata mie hapa nina wish kupewa hata ka bilion hivi 😅😅 nitatue changamoto zangu
Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
mzee mwingine aje aprove jamani 😂😂Hahaha...............Kuwika ni mara moja ikizidi sana mara 3 kama Jogoo wa Petro tu 😁🏃🏃
🤣🤣🤣nyie🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂! Lazima uloe na hujaguswa hata khakhakhaaaa!!
Maslahi yako wewe unapoingia kwenye mahusiano ni yapi???nani hayupo kimaslahi ? ndoa yenyewe ipo kimaslahi aisee.. hakuna mtu anataka mtu asie na kitu .. huu ndio u sound wenyewe tunauita 😅😅😅 kama huna kitu hata wewe mwanamke cha kumvuta mwanaume ni tabu na mwanaune asie na kitu cha kukuvuta ni tabu
Kuwaita ili iweje, na kazi hatuwezi kuwazidi vijana.mnajifanya wastaarabu mnawaita 'mabinti' 😂
Mwanaume majukumu lakini kizazi hiki kimezidi na vizuri kuomba unanpa muda na mwenzio kufanya majukumu yake mengine sio daily kiukweli inaboaKuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.
Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.
Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka 🙌
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌!Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
sipati boom Manyanza nichukue hatua gani sasa 😅Boom lenyewe kiasi gani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nachekaa km mazuriii.
That's trueNi tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
ni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdoseMaslahi yako wewe unapoingia kwenye mahusiano ni yapi???
ah wapi supu mnashindilia ili iweje😂Kuwaita ili iweje, na kazi hatuwezi kuwazidi vijana.
Mwanamke hawezi mvumilia Mwanaume anayesubiri Jogoo wake awike kwa mwaka mara 1, never 😁
Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo 🙌🏃🏃Mwanaume majukumu lakini kizazi hiki kimezidi na vizuri kuomba unanpa muda na mwenzio kufanya majukumu yake mengine sio daily kiukweli inaboa
Sawasawa jirani, nikivuna, nikiuza tu nakununulia biscuits...mvua imenyesha mwaka hiu
tunategemea mavuno ya kutosha
🤣🤣Ni kweli Mjukuu, inafikia wakati Mwanaume akiachana na wewe anaenda kusheherekea kama amemaliza deni la Bodi ya Mikopo 🙌🏃🏃
Wengine hata haiw overdose ila mpunguze ubahili mtu mbahili tangu kuzaliwa anajifanya mwanamke anapenda Hela kumbe kichaka tuni kuhakiiisha mwanamke ni backup pale ambapo inatakiwa kama vile umeme wa tanesco ( mume ) unapo kwenda inabidi power genset ( wife ) liwake.. so kuna vitu nakuwa nimeviona kama havipo hata simsogelei.. lazima kuwa na faida tu na halikwepeki hili, ila kusiwe na overdose
mnawakumbuka milele😂Hahaha tunawaombea hao sana
sema mnaishia kuachana , no offers tena 😂😂😂