Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi 😁

Ila vijana sasa, mambo mia kidogo πŸ€ͺπŸ™Œ
Hapo kwa vijana hapoo very true!

Mambo miambiliiii kidogoo 😁!
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Wale waliokaa kimaslahi kwakweli huwezi kuwapa bila pesa hata iweje.
nani hayupo kimaslahi ? ndoa yenyewe ipo kimaslahi aisee.. hakuna mtu anataka mtu asie na kitu .. huu ndio u sound wenyewe tunauita πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kama huna kitu hata wewe mwanamke cha kumvuta mwanaume ni tabu na mwanaune asie na kitu cha kukuvuta ni tabu
 
🚢🚢🚢🚢ila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiπŸ˜€πŸ˜€
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚! Lazima uloe na hujaguswa hata khakhakhaaaa!!
 
🚢🚢🚢🚢ila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiπŸ˜€πŸ˜€
nzuri sana kupewa hela, hata mie hapa nina wish kupewa hata ka bilion hivi πŸ˜…πŸ˜… nitatue changamoto zangu
 
Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.

Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.

Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.

Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka πŸ™Œ
 
nani hayupo kimaslahi ? ndoa yenyewe ipo kimaslahi aisee.. hakuna mtu anataka mtu asie na kitu .. huu ndio u sound wenyewe tunauita πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kama huna kitu hata wewe mwanamke cha kumvuta mwanaume ni tabu na mwanaune asie na kitu cha kukuvuta ni tabu
Maslahi yako wewe unapoingia kwenye mahusiano ni yapi???
 
Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.

Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.

Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka πŸ™Œ
Mwanaume majukumu lakini kizazi hiki kimezidi na vizuri kuomba unanpa muda na mwenzio kufanya majukumu yake mengine sio daily kiukweli inaboa
 
Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.

Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ!
 
Back
Top Bottom