Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
He! Sijambo, shkamoo!πHe!...jirani hujambo.
He! Sijambo, shkamoo!πHe!...jirani hujambo.
π€£π€£πKumbe eehWeee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyeweππππ€£ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈ!
mimi mchaga 100% umenipa motishaa πLakini usije ukaiga utapotea mazima. Wachaga wana upepo wa Biashara
mvua imenyesha mwaka hiuHalifurahishi, ila mkulima lake jembe.
kina Mjep π wanamwaga pesa....kuna part time sponsors wabarikiwe .
kabla hajatongoza , unakula kidogo
Hapo kwa vijana hapoo very true!Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi π
Ila vijana sasa, mambo mia kidogo π€ͺπ
Anza kuwa na wazo la biashara kwanza na ulifanyie utafiti. Then boom likiingia tu peleka huko kwenye wazo lako la biasharamimi mchaga 100% umenipa motishaa π
nani hayupo kimaslahi ? ndoa yenyewe ipo kimaslahi aisee.. hakuna mtu anataka mtu asie na kitu .. huu ndio u sound wenyewe tunauita π π π kama huna kitu hata wewe mwanamke cha kumvuta mwanaume ni tabu na mwanaune asie na kitu cha kukuvuta ni tabuπππ
Wale waliokaa kimaslahi kwakweli huwezi kuwapa bila pesa hata iweje.
Boom lenyewe kiasi gani??Anza kuwa na wazo la biashara kwanza na ulifanyie utafiti. Then boom likiingia tu peleka huko kwenye wazo lako la biashara






π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ! Lazima uloe na hujaguswa hata khakhakhaaaa!!πΆπΆπΆπΆila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiππ
nzuri sana kupewa hela, hata mie hapa nina wish kupewa hata ka bilion hivi π π nitatue changamoto zanguπΆπΆπΆπΆila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiππ
mnajifanya wastaarabu mnawaita 'mabinti' πMimi na Wazee wenzangu waandamizi hatuna mambo mengi kabisa yaani π€
π€£π€£π€£Aunt kama shangazi na Shangaz nae baba π€£π€£nzuri sana kupewa hela, hata mie hapa nina wish kupewa hata ka bilion hivi π π nitatue changamoto zangu
Kuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
mzee mwingine aje aprove jamani ππHahaha...............Kuwika ni mara moja ikizidi sana mara 3 kama Jogoo wa Petro tu πππ
π€£π€£π€£nyieπ€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ! Lazima uloe na hujaguswa hata khakhakhaaaa!!
Maslahi yako wewe unapoingia kwenye mahusiano ni yapi???nani hayupo kimaslahi ? ndoa yenyewe ipo kimaslahi aisee.. hakuna mtu anataka mtu asie na kitu .. huu ndio u sound wenyewe tunauita π π π kama huna kitu hata wewe mwanamke cha kumvuta mwanaume ni tabu na mwanaune asie na kitu cha kukuvuta ni tabu
Kuwaita ili iweje, na kazi hatuwezi kuwazidi vijana.mnajifanya wastaarabu mnawaita 'mabinti' π
Mwanaume majukumu lakini kizazi hiki kimezidi na vizuri kuomba unanpa muda na mwenzio kufanya majukumu yake mengine sio daily kiukweli inaboaKuna Kijana humu, alianzisha Uzi akisema katika Wanawake 5 aliowaomba mahusiano 4 kati yao walimuomba fedha wakisema Kodi na gesi vyote viliisha siku 1.
Hivyo kupelekea yule Kijana kushindwa kupata mwenza hadi leo.
Mnaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu pesa, ila ni ukweli ulio wazi tu kama Mwanaume hauna hela unaweza kuwa single hadi Unazeeka π
πππππππππππππππ!Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.