Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

babu nyie mna wa kuwapunguzia stress .

akizingua mke mnaenda kutulia kwa mchepuko
Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu 🤪

Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye 🙌🏃🏃🏃🏃
 
Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu 🤪

Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye 🙌🏃🏃🏃🏃
ah wapi babu , umedanganya anawikaje mara moja kwa mwaka .

wazee nyie ndo pisi kali zinawapenda hamna mambo mengi .
 
Poor Brain
Screenshot_20230522-140258.png
 
Si ndo hapo na wazee wenzao hawatutaki vilevile😀
Huyo atakua sio mzee Walai mzee hawako hivo buana!! 😁Itabidi ubonge na babuu Grahams akuunganishie kwa mzee mwenzie 🤠🤠 Au kama yee anaweza kukufanyia wepesi si nilisikia wazee wa zamani walioa wake wengi 🤠🤠🤠😂😂!
 
Back
Top Bottom