Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_1684743493374.jpg
 
Si ndo hapo na wazee wenzao hawatutaki vilevile😀
Huyo atakua sio mzee Walai mzee hawako hivo buana!! 😁Itabidi ubonge na babuu Grahams akuunganishie kwa mzee mwenzie 🤠🤠 Au kama yee anaweza kukufanyia wepesi si nilisikia wazee wa zamani walioa wake wengi 🤠🤠🤠😂😂!
 
ndio mkuu.... binafsi naamini kuna wanawake wanaona beyond the wallet.... nashangaa watu wengi hawakubaliani na mimi
Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.

Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
 
Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu 🤪

Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye 🙌🏃🏃🏃🏃
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa 👉👉👉paleee😁😂!
Labda awe anaumwa 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom