mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,284
- 71,974
ah wap mafataki wengi ni wazeeHahaha..............hao waharibifu waambiwe mapema waweze kubadirika, sisi Wazee hatuhusiki kabisa 😁
ah wap mafataki wengi ni wazeeHahaha..............hao waharibifu waambiwe mapema waweze kubadirika, sisi Wazee hatuhusiki kabisa 😁
mie sina sponsor wa kiume ambaye siye ndugu .sponsors wanawapunguzia makali 😅
Jirani mamboNipo shwari jirani, napeleka mihogo tandale sokoni.
Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu 🤪babu nyie mna wa kuwapunguzia stress .
akizingua mke mnaenda kutulia kwa mchepuko
Si ndo hapo na wazee wenzao hawatutaki vilevile😀Zama zimebadilika sana babuu vibinti mnaviharibu mapema sanaaa unategemea bikra itoke wapi 🤠!
Ooh mihogo inaiva sasaNipo shwari jirani, napeleka mihogo tandale sokoni.
ah wapi babu , umedanganya anawikaje mara moja kwa mwaka .Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu 🤪
Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye 🙌🏃🏃🏃🏃
Sisi wakulima tunapunjwa tu, wenye bei wapishi🤣Ooh mihogo inaiva sasa
vipi bei yake huko tandale
lakini sasa si ni last option life likikaza.... sisi hatuna, life likikaza unaanza kula mara 1 kwa sikumie sina sponsor wa kiume akambaye siye ndugu .
ni kama dume tu 😂😂😂
Kuna Mangi mmoja ali drop out na lile boom akalifanya mtaji mara ya mwisho naona naye maeneo ya Sinza kijiweni. Tayari ana nyumba, Bar , Bodaboda mbilikuna mda nawaza sana ni-dropout 😂
Tuna offer leo, ukiweka full tank
Huyo atakua sio mzee Walai mzee hawako hivo buana!! 😁Itabidi ubonge na babuu Grahams akuunganishie kwa mzee mwenzie 🤠🤠 Au kama yee anaweza kukufanyia wepesi si nilisikia wazee wa zamani walioa wake wengi 🤠🤠🤠😂😂!Si ndo hapo na wazee wenzao hawatutaki vilevile😀
Pole aisee ,Sisi wakulima tunapunjwa tu, wenye bei wapishi🤣
Kwenye hiyo Hoja, Wazee mnatuonea bure Mkuu.ah wap mafataki wengi ni wazee
Mboga 7 😋 , naona boom bado linapumua
Halifurahishi, ila mkulima lake jembe.Pole aisee ,
soko halifurahishi
innocent till proven guilty😂 mnapita kimyakimyaKwenye hiyo Hoja, Wazee mnatuonea bure Mkuu.
Waulize Wazee wenzangu akina Mzee Mwinyi, we are so innocent 🤗