Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Wale waliokaa kimaslahi kwakweli huwezi kuwapa bila pesa hata iweje.
 
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰paleee๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚!
Labda awe anaumwa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi ๐Ÿ˜

Ila vijana sasa, mambo mia kidogo ๐Ÿคช๐Ÿ™Œ
 
Na mapengo Yao๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃila kudate na mzee yatak moyo wa kigaid๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Weee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyewe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ!
 
Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudanii๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Weee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyewe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ!
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚Kumbe eeh
 
Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi ๐Ÿ˜

Ila vijana sasa, mambo mia kidogo ๐Ÿคช๐Ÿ™Œ
Hapo kwa vijana hapoo very true!

Mambo miambiliiii kidogoo ๐Ÿ˜!
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Wale waliokaa kimaslahi kwakweli huwezi kuwapa bila pesa hata iweje.
nani hayupo kimaslahi ? ndoa yenyewe ipo kimaslahi aisee.. hakuna mtu anataka mtu asie na kitu .. huu ndio u sound wenyewe tunauita ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… kama huna kitu hata wewe mwanamke cha kumvuta mwanaume ni tabu na mwanaune asie na kitu cha kukuvuta ni tabu
 
๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudanii๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚! Lazima uloe na hujaguswa hata khakhakhaaaa!!
 
๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudanii๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
nzuri sana kupewa hela, hata mie hapa nina wish kupewa hata ka bilion hivi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… nitatue changamoto zangu
 
Back
Top Bottom