Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,498
Mwinyi huyo kwema🤣🤣Kwenye hiyo Hoja, Wazee mnatuonea bure Mkuu.
Waulize Wazee wenzangu akina Mzee Mwinyi, we are so innocent 🤗
Mwinyi huyo kwema🤣🤣Kwenye hiyo Hoja, Wazee mnatuonea bure Mkuu.
Waulize Wazee wenzangu akina Mzee Mwinyi, we are so innocent 🤗
Wanaburuza balaa 😂😂😂innocent till proven guilty😂 mnapita kimyakimya
mbona buku tu hiyo rafki yangu 😅Mboga 7 😋 , naona boom bado linapumua
bonge moja la bahati aisee 😂Kuna Mangi mmoja ali drop out na lile boom akalifanya mtaji mara ya mwisho naona naye maeneo ya Sinza kijiweni. Tayari ana nyumba, Bar , Bodaboda mbili
Hahaha...............Kuwika ni mara moja ikizidi sana mara 3 kama Jogoo wa Petro tu 😁🏃🏃ah wapi babu , umedanganya anawikaje mara moja kwa mwaka .
wazee nyie ndo pisi kali zinawapenda hamna mambo mengi .
kazi kushusha vioo tu kuita vibinti....Wanaburuza balaa 😂😂😂
Ndiyo rika langu lile, umetuona tusivyo na mambo mengi 😁Mwinyi huyo kwema🤣🤣
Na mapengo Yao🤣🤣🤣ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaid😂😂kazi kushusha vioo tu kuita vibinti....
Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.ndio mkuu.... binafsi naamini kuna wanawake wanaona beyond the wallet.... nashangaa watu wengi hawakubaliani na mimi
Lakini usije ukaiga utapotea mazima. Wachaga wana upepo wa Biasharabonge moja la bahati aisee 😂
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa 👉👉👉paleee😁😂!Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu 🤪
Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye 🙌🏃🏃🏃🏃
unavumilia tu mwisho wa siku kuna laki zako kadhaa😂 na ada ya chuo paap....Na mapengo Yao🤣🤣🤣ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaid😂😂
😆😆😆Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli 😅😅😅... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice 😅😅😅
Mimi na Wazee wenzangu waandamizi hatuna mambo mengi kabisa yaani 🤗innocent till proven guilty😂 mnapita kimyakimya
kuna part time sponsors wabarikiwe .lakini sasa si ni last option life likikaza.... sisi hatuna, life likikaza unaanza kula mara 1 kwa siku
basi itakua na gold diggers pia wameongezekaNi tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
Tafuta Wimbo wa Bonny Mwaitege Sisi sote ni kazi ya mikono yako 😍😍Hahaha sawa
Najikubali
Weee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyewe😂😂😂🤣🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️!Na mapengo Yao🤣🤣🤣ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaid😂😂
🚶🚶🚶🚶ila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudanii😀😀Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli 😅😅😅... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice 😅😅😅