Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

ndio mkuu.... binafsi naamini kuna wanawake wanaona beyond the wallet.... nashangaa watu wengi hawakubaliani na mimi
Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.

Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
 
Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu 🤪

Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye 🙌🏃🏃🏃🏃
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa 👉👉👉paleee😁😂!
Labda awe anaumwa 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli 😅😅😅... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice 😅😅😅
😆😆😆

Wale waliokaa kimaslahi kwakweli huwezi kuwapa bila pesa hata iweje.
 
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa 👉👉👉paleee😁😂!
Labda awe anaumwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi 😁

Ila vijana sasa, mambo mia kidogo 🤪🙌
 
Na mapengo Yao🤣🤣🤣ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaid😂😂
Weee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyewe😂😂😂🤣🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️!
 
Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli 😅😅😅... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice 😅😅😅
🚶🚶🚶🚶ila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudanii😀😀
 
Back
Top Bottom