Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,849
- 57,527
Nilikuwa natolea mfano tu Mjukuu, sisi miaka yetu Bikra zilikuwa zakutosha.Bikra wee yanini na umewowaa grampa nawee😁😁!
Sikuhzi kizazi kimeharibikaaa vibinti havina si bikra ya mbele wala yanyumaa ni mtihani kwakweli 🤠!
Siku ya kwanza unaenda kulala naye huyo Mkeo, basi utakuta Wakwe wameandaa kitambaa cheupe kitandani kwaajili ya kuangalia matokeo.
Wakikuta ipo, utasikia Vigelegele huko nje, na kama hukumaliza kulipia Ng'ombe za watu unatakiwa mapema kesho yake mpeleke ng'ombe za watu 🤗🏃🏃
