Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bikra wee yanini na umewowaa grampa nawee😁😁!

Sikuhzi kizazi kimeharibikaaa vibinti havina si bikra ya mbele wala yanyumaa ni mtihani kwakweli 🤠!
Nilikuwa natolea mfano tu Mjukuu, sisi miaka yetu Bikra zilikuwa zakutosha.

Siku ya kwanza unaenda kulala naye huyo Mkeo, basi utakuta Wakwe wameandaa kitambaa cheupe kitandani kwaajili ya kuangalia matokeo.

Wakikuta ipo, utasikia Vigelegele huko nje, na kama hukumaliza kulipia Ng'ombe za watu unatakiwa mapema kesho yake mpeleke ng'ombe za watu 🤗🏃🏃
 
Amen 🙏

Muhimu tupate kibali cha kuishi miaka mingi, mkitu stress kwenye mahusiano yetu hatuchelewi kufa kwa Presha 🙌
babu nyie mna wa kuwapunguzia stress .

akizingua mke mnaenda kutulia kwa mchepuko
 

Attachments

  • IMG_20230521_221005.JPG
    IMG_20230521_221005.JPG
    12.8 KB · Views: 5
Nilikuwa natolea mfano tu Mjukuu, sisi miaka yetu Bikra zilikuwa zakutosha.

Siku ya kwanza unaenda kulala naye huyo Mkeo, basi utakuta Wakwe wameandaa kitambaa cheupe kitandani kwaajili ya kuangalia matokeo.

Wakikuta ipo, utasikia Vigelegele huko nje, na kama hukumaliza kulipia Ng'ombe za watu unatakiwa mapema kesho yake mpeleke ng'ombe za watu 🤗🏃🏃
Zama zimebadilika sana babuu vibinti mnaviharibu mapema sanaaa unategemea bikra itoke wapi 🤠!
 
😅😅😅 ni kujisalimisha tu.. ndio pona yetu hata moyo unakuwa huru
Ni kweli, muhimu huyo utakayejisalimisha kwake aweze kukuvumilia mapungufu yako.

Mambo ya Vibamia na Kimoja chali, yanatutesa sana Wanaume.

Ukikutana na Mwanamke anajua kusema, atasema kwa majirani na mashoga zake wote, utatamani ujifukie ardhini kuepuka aibu 🙌
 
Back
Top Bottom