Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

sasa ukitafuta hela haimaanishi kwamba utaipata, kwahiyo ubaki mpweke??
Ni kweli sio kwenye kila utafutaji utafanikiwa, siku ukipata hicho kidogo hakikisha una mfurahisha kwa kumpatia mahitaji yake na walau fedha kidogo ya kutumia.

Kupata mwanamke asiye muhitaji wa fedha kwasasa, imekuwa vigumu kama kupata Bikra miaka hii
 
Lenie 😂😂⛽️
009C36C0-DC81-44C7-B695-4AD77AD28DE1.jpeg
 
Ni kweli sio kwenye kila utafutaji utafanikiwa, siku ukipata hicho kidogo hakikisha una mfurahisha kwa kumpatia mahitaji yake na walau fedha kidogo ya kutumia.

Kupata mwanamke asiye muhitaji wa fedha kwasasa, imekuwa vigumu kama kupata Bikra miaka hii
Bikra wee yanini na umewowaa grampa nawee😁😁!

Sikuhzi kizazi kimeharibikaaa vibinti havina si bikra ya mbele wala yanyumaa ni mtihani kwakweli 🤠!
 
Hela zitafutwe sana ila sio kwa kigezo cha kufurahisha & kupata wanawake.
Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli 😅😅😅... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice 😅😅😅
 
Huamini eeh 😁

Bahati nzuri niliwahi kuonja mapishi yake kabla hajanipa Kibuti, vinginevyo Babu yenu ningekuwa nimepoteza maisha kwa stress 😩 😪 🏃🏃🏃
Kama ulionjaa Safii sanaa huo ndio uanaumee sasa!🤠!
 
Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli 😅😅😅... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice 😅😅😅
Pesa Ni mtihani kwakweli Mungu atusaidie wanawake!!
 
Back
Top Bottom