ugali wa shkamoo mtamu😂 mtaani ni kufa na kuponaserious ???
nimeanzia diploma pia
kusoma 5 years sio mchezo
tena uunganishe na masters
Ni kweli sio kwenye kila utafutaji utafanikiwa, siku ukipata hicho kidogo hakikisha una mfurahisha kwa kumpatia mahitaji yake na walau fedha kidogo ya kutumia.sasa ukitafuta hela haimaanishi kwamba utaipata, kwahiyo ubaki mpweke??
khakhakhaaaa....!Niliwahi kupewa kibuti cha kushtukiza na mtoto wa aliyekuwa mpishi Ikulu ya Muingireza miaka ile ya Ujana.
Kutokea hapo nikajiapiza liwe jua au Mvua lazima niitafute hela popote ilipo.
Eendiwoooooooo shoss akee!BAED au![]()
ndio mkuu.... binafsi naamini kuna wanawake wanaona beyond the wallet.... nashangaa watu wengi hawakubaliani na mimiHela zitafutwe sana ila sio kwa kigezo cha kufurahisha & kupata wanawake.
Amen 🙏hongera sana babu , anza na hao .
watakuwa vijana bora kabisa
ndio maana suicide rate ya wanaume inapanda 😅Ni kweli sio kwenye kila utafutaji utafanikiwa, siku ukipata hicho kidogo hakikisha una mfurahisha kwa kumpatia mahitaji yake na walau fedha kidogo ya kutumia.
Kupata mwanamke asiye muhitaji wa fedha kwasasa, imekuwa vigumu kama kupata Bikra miaka hii
📌Hela zitafutwe sana ila sio kwa kigezo cha kufurahisha & kupata wanawake.
Huamini eeh 😁khakhakhaaaa....!
Bikra wee yanini na umewowaa grampa nawee😁😁!Ni kweli sio kwenye kila utafutaji utafanikiwa, siku ukipata hicho kidogo hakikisha una mfurahisha kwa kumpatia mahitaji yake na walau fedha kidogo ya kutumia.
Kupata mwanamke asiye muhitaji wa fedha kwasasa, imekuwa vigumu kama kupata Bikra miaka hii
Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli 😅😅😅... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice 😅😅😅Hela zitafutwe sana ila sio kwa kigezo cha kufurahisha & kupata wanawake.
Hakika, na Wanawake ndiyo chanzo kikuu 🙌ndio maana suicide rate ya wanaume inapanda 😅
😅😅😅😅Bikra wee yanini na umewowaa grampa nawee😁😁!
Sikuhzi kizazi kimeharibikaaa vibinti havina si bikra ya mbele wala yanyumaa ni mtihani kwakweli 🤠!
😅😅😅 ni kujisalimisha tu.. ndio pona yetu hata moyo unakuwa huruHakika, na Wanawake ndiyo chanzo kikuu 🙌
Kama ulionjaa Safii sanaa huo ndio uanaumee sasa!🤠!Huamini eeh 😁
Bahati nzuri niliwahi kuonja mapishi yake kabla hajanipa Kibuti, vinginevyo Babu yenu ningekuwa nimepoteza maisha kwa stress 😩 😪 🏃🏃🏃
Tatizo hamtuliii granpa bora mrogwe tu😁🤠!Hakika, na Wanawake ndiyo chanzo kikuu 🙌
Pesa Ni mtihani kwakweli Mungu atusaidie wanawake!!Bila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli 😅😅😅... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice 😅😅😅