Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230522_120556.jpg
 
20230521_171016.jpg
20230521_171034.jpg

Kabla teknolojia ya kupima DNA haijarahisishwa, Wazee waliweza kutazama viganja vya mikono na kujua kama Mtoto ni wa ndani au alishuka kutoka Nchi za mbali 🤪🙌

Hata baada ya miaka mingi ya ukuaji wa teknolojia, baadhi ya Makabila bado wanatumia njia hii kuweza kufanya utambuzi wa damu zao.

Kabla hujaamua kwenda kwa Mkemia Mkuu, unaweza kujaribu njia hii pia na ukapata matokeo walau kwa 55-70% 🤗
 
View attachment 2631063View attachment 2631064
Kabla teknolojia ya kupima DNA haijarahisishwa, Wazee waliweza kutazama viganja vya mikono na kujua kama Mtoto ni wa ndani au alishuka kutoka Nchi za mbali 🤪🙌

Hata baada ya miaka mingi ya ukuaji wa teknolojia, baadhi ya Makabila bado wanatumia njia hii kuweza kufanya utambuzi wa damu zao.

Kabla hujaamua kwenda kwa Mkemia Mkuu, unaweza kujaribu njia hii pia na ukapata matokeo walau kwa 55-70% 🤗
Kwa kuangalia hiyo mikunjo ya kwenye viganja vya mkono ?
 
Kwa kuangalia hiyo mikunjo ya kwenye viganja vya mkono ?
Ndiyo, ila nadhani kuna cha zaidi kinatazamwa kupitia hivyo viganja.

Nakumbuka first born wangu, Wazee walipofika tu wakaangalia viganja vya mtoto then wakasema huyu ni wa kwetu.

Nikajiuliza wamejuaje pasi kutumia vipimo vya maabara, wakanionesha njia hiyo 🙌
 
Nina sura la mshangazi, sio kisura

We wakwetu kabisa ndioo

Asante kwa maneno ya faraja ndugu yangu😍
😂 😂 😂 😂 Hapana sio maneno ya faraja wewe ni kazi ya uumbaji wa Mungu ni lazima ujikubali tu vile ulivyo. Japo ni ngumu kujikubali lakini ni lazima ujikubali tu. Si unaona Ma celebrity wanavyohangaika na mionekano yao ??? Na ndio maana wale ni watu wenye misongo sana ya mawazo maana hawajikubali.
 
View attachment 2631063View attachment 2631064
Kabla teknolojia ya kupima DNA haijarahisishwa, Wazee waliweza kutazama viganja vya mikono na kujua kama Mtoto ni wa ndani au alishuka kutoka Nchi za mbali 🤪🙌

Hata baada ya miaka mingi ya ukuaji wa teknolojia, baadhi ya Makabila bado wanatumia njia hii kuweza kufanya utambuzi wa damu zao.

Kabla hujaamua kwenda kwa Mkemia Mkuu, unaweza kujaribu njia hii pia na ukapata matokeo walau kwa 55-70% 🤗
Kuna wanaume ni mna damu kareeee haina haja ya vipimo wala nenee!!!!
Watoto ni baraka granpa hongeraaa kwa kuleaa!
 
😂 😂 😂 😂 Hapana sio maneno ya faraja wewe ni kazi ya uumbaji wa Mungu ni lazima ujikubali tu vile ulivyo. Japo ni ngumu kujikubali lakini ni lazima ujikubali tu. Si unaona Ma celebrity wanavyohangaika na mionekano yao ??? Na ndio maana wale ni watu wenye misongo sana ya mawazo maana hawajikubali.
Hahaha sawa

Najikubali
 
Kuna wanaume mna damu kareeee haina haja ya vipimo wala nenee!!!!
Watoto ni baraka granpa hongeraaa kwa kuleaa!
Kwasisi tuliozaliwa kabla ya Computer, tuna msemo wetu kuwa "Kitanda hakizai Haramu"

Weekend ni siku za kucheza na Wajukuu, ni mwendo wa kuwatuma Moto kwaajili ya kuwashia Kiko zangu tu 🤪
 
Back
Top Bottom