Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mapenzi ya pesa ni utumwa granpah!!! Hasa kwa kizazi chetu hikiii 🙌🙌🙌🙌🙌!
Mabinti wengi wa kileo, hawana uvumilivu kwenye maisha magumu. Unaweza kuamka ukajikuta umepewa kibuti hata hujajiandaa 🙌

Watoto wangu wa Kiume nimewaambia wajikite kutafuta hela, ukikosa hela kwa Dunia ya sasa una dharaurika kuanzia kwenye vikao vya familia hadi kwenye mahusiano ya Ndoa.
 
Kuwabadirisha Vijana wa kileo kuna hitaji muda.

Hata hivyo tunaendelea kuwaelimisha taratibu, ingawa nilianza na Vijana wangu tangu wakiwa na miaka 3 😁
hongera sana babu , anza na hao .
watakuwa vijana bora kabisa
 
Mabinti wengi wa kileo, hawana uvumilivu kwenye maisha magumu. Unaweza kuamka ukajikuta umepewa kibuti hata hujajiandaa 🙌

Watoto wangu wa Kiume nimewaambia wajikite kutafuta hela, ukikosa hela kwa Dunia ya sasa una dharaurika kuanzia kwenye vikao vya familia hadi kwenye mahusiano ya Ndoa.
Kibuti cha kushtukizwa😂😂🤣🤣🤣!

Weee babu ukiwa na pesa si ndo unaheshimikaa lakinii unashobokewa sanaa,, Unalala na mwanamke yeyote unaemtakaaaa akupende asikupende sio shida zakooo 😁😁 unabadilisha nyapu tani yakooo 😄😄😄😄
Shikamoo 💰💰💰💰💰😁!
 
Kuwabadirisha Vijana wa kileo kuna hitaji muda.

Hata hivyo tunaendelea kuwaelimisha taratibu, ingawa nilianza na Vijana wangu tangu wakiwa na miaka 3 😁
Safi sana babu kweli panapo wazee hakiharibiki kituuu👍!
 
Saint Anne

Mkaka mnukia pafyumu pambee anakusalimia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu atafanya nkazururee nae venue, sasa naogopa mkaka wa masters atanionaa. Afu itakua jau.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom