Au chumvi kwenye chakula isipokuwepo , hakuna ladha tena .Wanasema Hela kwenye mapenzi ni kama Kitunguu kwenye Kachumbari 🙌
Babe akisema umpeleke Dinner Hyatt Regency Dar Es Salaam uwe na hela ya kumpeleka 🤗
Kama lectuter haelewki nakuunga mkono .fine.... niko hapa nadodge kipindi 😅
Swadakta Mjukuu🤗Au chumvi kwenye chakula isipokuwepo , hakuna ladha tena .
wazeee mna maarifa sana
heshima kwenu baba zetu .
Mapenzi ya pesa ni utumwa granpah!!! Hasa kwa kizazi chetu hikiii 🙌🙌🙌🙌🙌!Wanasema Hela kwenye mapenzi ni kama Kitunguu kwenye Kachumbari 🙌
Babe akisema umpeleke Dinner Hyatt Regency Dar Es Salaam uwe na hela ya kumpeleka 🤗
chuo changu hawafuatilii.... kuna masomo siingii vipindi semester nzima 😂Kama lectuter haelewki nakuunga mkono .
chuo nilichosoma kipindi masaa matatu , unatoka na njaa tupu
Usijareee kabesaaa mnywanii afu ametulia kinoumaaaa... mpole mnoo!!Ndio ufanye fanye ivo Sasa kwa ticha wa mathematics
muwarithishe na vijana wasitusumbue maana hawafuti ya nyie baba zao .Swadakta Mjukuu🤗
Kuishi kwingi kuona mengi, hizi Mvi zetu zimehifadhi mengi 🤪
Mabinti wengi wa kileo, hawana uvumilivu kwenye maisha magumu. Unaweza kuamka ukajikuta umepewa kibuti hata hujajiandaa 🙌Mapenzi ya pesa ni utumwa granpah!!! Hasa kwa kizazi chetu hikiii 🙌🙌🙌🙌🙌!
Walimu wako na upendo Sana!Usijareee kabesaaa mnywanii afu ametulia kinoumaaaa... mpole mnoo!!
mna rahachuo changu hawafuatilii.... kuna masomo siingii vipindi semester nzima 😂
sasa mkuu hela haziko guaranteed.... kutafta pesa kwa ajili ya wanawake ni utumwawajikite kutafuta hela
MUST raha sana.... imagine semester iliyopita tulifeli weee😂 mkuu wa chuo akatuongezea marks.... niliingia mapindi 2 tumna raha
Mzumbe usipoingia vipindi utafeli vibaya . wanaangalia sana tutorial .
nilichokereka ni vipindi kuanza saa moja asubuhi kisa ni kijijini wanaamua tu .
Kuwabadirisha Vijana wa kileo kuna hitaji muda.muwarithishe na vijana wasitusumbue maana hawafuti ya nyie baba zao .
mna raha hukoMUST raha sana.... imagine semester iliyopita tulifeli weee😂 mkuu wa chuo akatuongezea marks.... niliingia mapindi 2 tu
huku presentation ukikosa unapata nusu marks.... hakuna attendancemna raha huko
supp tu unalipia 20,000 , ukitaka kuappeal napo unalipia .
presentation ukikosa unalo , uvae official and smart .
hongera sana babu , anza na hao .Kuwabadirisha Vijana wa kileo kuna hitaji muda.
Hata hivyo tunaendelea kuwaelimisha taratibu, ingawa nilianza na Vijana wangu tangu wakiwa na miaka 3 😁