Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mshana Jr maeneo yetu ya kujidai. Kingazi resort. Siku hizi pamepooza Sana sijui kwa nini.
Screenshot_2023-05-21-21-34-07-31.jpg
 
Alafu aunt siku mtaniacha nakufa mkajua utani [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dawahizo zingine nimemaliza nimekunywa dawa kama sio mm muoga chezea kufa wew[emoji23][emoji23]
Umeme ukakatika saa nane na homa Kali nililia balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie
Sijaenda job wiki nzima hii Aunt
Pole saaana

Pole saana.

Hapa Kapachino. Ulikuwa wapi??
 
Mbna km napajua, si malamba mawili msikitini unaingia kwa ndanii?? Au
Hapana,

Ni Mtoni kijichi,kule ushuani kabisa. Zamani palikuwa hapatoshi but now days Hakuna watu kabisa. Walevi watu wa ajabu Sana,wameshakimbia. Sasa hivi Gate way ndiyo kunajaa.
 
Duuh poleee shangaziiiii, sasa ndo uliee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikiumwaa siwezi kulala pekee angu, siweziii hataaa.
Watu mnadeka , mie nikiumwa hata 😂😂

mwaka jana niliumia sikio nusu ear lobe ikatike .
nilijikaza dereva kanigonga na kusepa ..

watu wanauliza hajakutoa damu najibu eeh
kumbe nimeumia .
Mungu apewe sifa
 
Back
Top Bottom