Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Binafsi bado sana kuzoea mambo yenu 😂😂😂
Binafsi bado sana kuzoea mambo yenu 😂😂😂
Wewe sio "mdada wa mjini".Sikumpenda aisee , i used him maana nilikuwa kapweke![]()
Ikabidi nimdanganye nimehama dar uwiii ,ili tusionane.
alivyokuja dukani , nilivyoona anaongea ngeli , nikamjibu weh
akachukua namba ili nimuelekeze maana hapajui na pia watu akienda dukani wanamuibia![]()
so toka mwanzo nilijua namsaidia tu basics za kuishi dar
Ulifeli sana, ungetafuta ndulele, unaichoma sindano unaweka kwenye moto, unaichomaaaa huku unanuiziaaa! Lolote baya liwapate au Mali irudi
Kijana mbichi kama huyo mishangazi itamzeesha 😊Heheee ah wapi
kawaida sana
huyo anapenda mashangazi 😂😂
Binafsi bado sana kuzoea mambo yenu![]()
Kuna 'member' nimeskia anakusanya picha kutoka kweye hii 'sred'
Nimekumis mrembo wangSasa nn??![]()
Mtaje.Kuna 'member' nimeskia anakusanya picha kutoka kweye hii 'sred'
Mambo gani tena wengine ni maneno tu mdomoni, ila ni masimba ya kuchora 🤣🤣🤣Binafsi bado sana kuzoea mambo yenu 😂😂😂
Kijana mbichi kama huyo mishangazi itamzeesha![]()







Daaah! Unanionea mkuu sina vyangu mishangazi inataka kibunda 😀😀Jipalilie tu wakati ww ndyo King wa mishangazi![]()
im from the village aiseeWewe sio "mdada wa mjini".
Daaah! Unanionea mkuu sina vyangu mishangazi inataka kibunda![]()
TinsleyHaya mchukue mtoto mzuri [mention]Tinsley [/mention] ana upwiru
hahaaKijana mbichi kama huyo mishangazi itamzeesha 😊
Hata wadada wa mjini wametoka Kijijini.im from the village aisee
heheheee sitaki utanichezeaNitakufundisha utazoea taratibu mara ya kwanza utasema unaumia mara ya pili utazoea mara ya tatu utafurahia