Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nani yupo usiku huu 😁😁😁😁😊😊 au wote mmelaliana tuuu

Mwizi akivamia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ˜¬.

Anyway tukutane kesho ratiba zinatofautiana sana πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ˜Ž
 
Naomba nikopeshe nyekundu moja babu kijana😬
Sema Babu mjukuu, ungejua ninavyoutamani huo ujana we acha tu. Yaani pamoja na kupaka Piko ya hela nyingi kichwani lakini mvi bado tu haziniishi Babu yenu πŸ€ͺπŸƒπŸƒπŸƒ


Kuhusu nyekundu moja, Ngoja nilipe mkopo chefuchefu wa Benki niliokopea mbolea then ikibaki utapata Mjukuu πŸ€—
 
At your own risk πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚!
Mmeshauriwa kuchanga karata zeinyu vizuree lol!!
Filter hiziiiiπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜πŸ˜πŸ€£!
πŸ˜‚Kwakweli Kwa sisi tusio Pisi Kali kunakitu Cha kujifunza akina bakari wapo kwaajili yetu huku mtaani πŸ˜‚
 
Kabisa wametukatilijeeee lol!! Auntie Hauna kapicha kako ka sura pasono hapoo asubuhi Yangu ikae vizuri mimii??πŸ˜ŠπŸ€”πŸ˜‰
Auntiel ndo mana ukaniita huku πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Haya ngoja nikubless...πŸ™ŒπŸ€Έ
 
Back
Top Bottom