Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,059
- 61,324
Sema Babu mjukuu, ungejua ninavyoutamani huo ujana we acha tu. Yaani pamoja na kupaka Piko ya hela nyingi kichwani lakini mvi bado tu haziniishi Babu yenu 🤪🏃🏃🏃Naomba nikopeshe nyekundu moja babu kijana😬
Kuhusu nyekundu moja, Ngoja nilipe mkopo chefuchefu wa Benki niliokopea mbolea then ikibaki utapata Mjukuu 🤗