Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekaa nikawaza kwanini member wa JF wanaogopa jipost Sura? Je wanadaiwa? Je kuna Mtu ana shida nao? sipatagi majibu kwanini wanachama wa JF ni waoga.

Leo ngoja nimwage mchele,wasionijua wanijue na wanaonitafuta wajue basi ndio mimi wanaemtafuta natumia ID ya CONTROLA.
Ukifanya hivo nami kama shabiki yako mwandamizi nipo pembeni yako niki kusindikiza mkuu
 
Back
Top Bottom