Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bora mjuanee ile kiurafiki wa kawaida tuu ila sio kwa mambo ya kupigana pumbu🤭! Kujuana kwa kupigana pumbu sio poaa kabisaa yaleyalee ya nshomile,😂😂!
Hapo umenena
Sema hiyo nayo ni ngumu kwa wenzangu na me..
Yaani ukishajuana na she tuu basi unawaza chini .🤓🤓🤓🥱🥱🥱
 
Mi nataka nikae kwa uhuru huku...
Yaani mtandaoni na bado hatujuani nianze kuogp ogopa jamn kweli...
Ndo mana naogopa vitu vidogo ka hivo
Ukitaka uishi kwa uhuru zaidi bora usijuaneee na mtu tyuuu!!! Kuna Vitu unaweza koments wanaokufahamu wanakuzoom na kujichekea tyyu nhiiiiii😁😁😁🤣🙌🙌!
 
Ukitaka uishi kwa uhuru zaidi bora usijuaneee na mtu tyuuu!!! Kuna Vitu unaweza koments wanaokufahamu wanakuzoom na kujichekea tyyu nhiiiiii😁😁😁🤣🙌🙌!
Umeonaaaa eeeeh...
Wengine humu tuna watu wetu wa karibu kabisa na hatujuani so nikichek nae anavyo jichanganyaga humu nabaki nacheka
Wakati nikikutana nae hom ni mtu mwingine kabisa ni vile hajui tu😁😁😁🤓🤓🤓🤓
 
We auntie upo vizuri ☺️☺️☺️☺️☺️😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋

Sema punguza chai ya rangi au una addiction ya maziwa ☕😁😁😁😁😁😎😜
Situmii maziwa 😵🥴
 
20230512_123359.jpg
 
Wifii yangu mrembo nimekumiss😍

Ulijua kweli kupotea jamani hope kila kitu kipo sawa

Ndugu yako alinikimbia🥺
Kwakweli mambo yalikuwa mengi na matatizo lkn tumevuka salama!
Kila kitu Sasa ni shwari!
Jamani anakukimbia ? Ulivyo mrembo? Achana nae utapata mwingine 😅
 
Back
Top Bottom