Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
Naona ndio umeachiwa.
Naona ndio umeachiwa.
JamaniJamani nywele amaizing hizii, nilivo na kipilipili sasa![]()
Kwa hii hii serengeti light si itakua wastage ya prayer
Nisubirie ninyoe mdogo wangu mzuri mzuridoh nipunguzie uhair dada
Hiki kimekuwa kijiwe cha wengi wetu.
Naomba location mkuuKaribuuuu.
Usinyoe mwayaa, hivi haiwezekani nikazipandikiza kwangu kama ukinipaNdio dear
Ila niko na mpango wa kunyoa mwakani jamani, Mungu akinipa uhai
,sijawahi kumiliki nywele nnazoweza kubana mchicha vizuri, japo sijawahi kunyoa miaka sasa dah


Maji
Safi sana. Zikiwa zinawekwa picha za excess baggage, tafadhali ni-tag kama sipo hewani.






Natamani nipumzike, nikusanye hela za kusuka kwenye kibobo dear!!Usinyoe mwayaa, hivi haiwezekani nikazipandikiza kwangu kama ukinipa![]()
,sijawahi kumiliki nywele nnazoweza kubana mchicha vizuri, japo sijawahi kunyoa miaka sasa dah
Hahahahahaha
Usinyoe mwayaa, hivi haiwezekani nikazipandikiza kwangu kama ukinipa![]()
,sijawahi kumiliki nywele nnazoweza kubana mchicha vizuri, japo sijawahi kunyoa miaka sasa dah




