Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Acha kujimwambafai huku jeiefuuDisemba hii nakuja na mapazia na Handbags..![]()
Hahahahasawa dada angu mzuri mzuri
Khaaaaah!!!Mefanya ajeee akii auntie!!
Huyo ni mtani wangu jamaani auntie
Mimi niko Mtwara huku
Teh teh teeeeh!! Hata mimi naona.mihangaiko tu mama
Tukaribishane sasa!!



Khaaaah!! Huyu mkeo mie kanishinda.
Wife Ndiyo amefanya ufundi wake mzee baba
Mmmmmh!!Panya sakayo mkwe
Nikija moshi anaaza kukimbiakimbia kama kuku anaetaka kutaga..![]()



hivi picha zote zile nilizotuma bado hamjagundua tu kuwa mimi ni mnene


Atoto zile picha yule pale airport ni mdogo wangu siyo mimi,, amini kwamba..
Ngoja nitajaribuAcha kunibania mimi jamani

Rudi hapa!
Tukaribishane sasa!!![]()
Nifundishe basi jamani pozi la kusimama dear
Kwahiyo ndio kusema aliekuandalia siku ile ndio kaandaa leo?@sakayo





Mmmmmh!!