Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,378
- 176,229
Sijawahi kabisaa kuvaa wigi auntie, kama ambavyo sijawahi kunywa pombe na wigi hivyo hivyo jamani auntie!!
Acha ninyoe tuu mimi!





Sijawahi kabisaa kuvaa wigi auntie, kama ambavyo sijawahi kunywa pombe na wigi hivyo hivyo jamani auntie!!
Acha ninyoe tuu mimi!





Sijambo..Sijakonda..Nimepunguza weight lol..Kafanye Sherehe basi..Ex darling we mwenyewe unajua hizo sio sifa zangu kabisaaaa. Ni imaginations zao tu.
Hujambo? Mbona umekonda hivyo![]()
Chelsea oyeeeee
Ahaaa Zahera oyeeeeView attachment 1270563
Acha ubishi basi.Wewe ndo wanidanganya auntie wangu jamaani
5 months ago. Japo hua ni mara moja moja mno...Hayo mambo umeanza lini wewe mtoto?![]()
Nisamehe mimi jamaniAcha ubishi basi.

Wewe ndo wanidanganya auntie wangu jamaani
Sijambo..Sijakonda..Nimepunguza weight lol..Kafanye Sherehe basi..




Hahahahahaha
Sijawahi kabisaa kuvaa wigi auntie, kama ambavyo sijawahi kunywa pombe na wigi hivyo hivyo jamani auntie!!
Acha ninyoe tuu mimi!
Nimeutamani mno..Mizururo time.View attachment 1271271
Muone kwanza jamaniVitenge !
Vitenge!
Vitenge!![]()
Naona unaenda kusheherekea kukonda kwa ex..Btw nimeyashika hayo mapaja kwa screen..Nimemuwahi unayeenda kuonana nae..Mizururo time.View attachment 1271271
Unamuiga pampula Hazard CFC eeh?5 months ago. Japo hua ni mara moja moja mno...
Kesho nitapiga na haiba nitaweka, hao wengine ngoja waje wenyewe.
Utazidi kuwa karembo.Hahahahahaha
Sijui nikivaa nitakuwaje mimii