Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,279
Rudi hapa!
Rudi hapa!
Abeee
Kuna mahali wanaimba Nakeii Nakeii...Mkwe vipi?









Muwekee Roger Sterling neema za Allah afurahishe macho.Abeee
Msinikumbushe!!
Basi uwe unazichana tu, huku makusanyo kwenye kibubu yakiendelea , nazionea huruma/wivu usizinyoe jamaniiNatamani nipumzike, nikusanye hela za kusuka kwenye kibobo dear!!
Ndio ugonjwa wako eeh? Tatizo wanawahi kufuta sasa![]()
Khaaaah!! Huyu mkeo mie kanishinda.Unajua ule wimbo wa Diamond na Innos ?
Kuna mahali wanaimba Nakeii Nakeii...
Sasa nikiona vitu vikienda mrama ndio kibwagizo changu![]()



sijui ila ulipitwa na basi stendi kabisa yani
Gaiii!! Ilikuwaje nikapitwa![]()
Sijui hata kwanini wanafuta, hata mimi siwaelewiiiBwana we, I'm all for thickness. Kwanini wanafuta lakini?




Nifundishe basi jamani pozi la kusimama dear
Mefanya ajeee akii auntie!!Yaani wewe mtoto umenishinda tabia haki tena![]()
Acha kunibania mimi jamaniUwii nilibahatisha tu mwe![]()
Umeniambukiza huo ugonjwa wako ujue?sijui ila ulipitwa na basi stendi kabisa yani
Muone kwanza jamani
HahahahahahaBasi uwe unazichana tu, huku makusanyo kwenye kibubu yakiendelea , nazionea huruma/wivu usizinyoe jamanii