Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyu kataa ndoa Aunt Tonnia. Anajiweza yeye mwenyewe, sijui ni mkono mmoja.
MMMH SIJAPENDA KWA KWELI 😁😁😁
Screenshot_20230501-040240~2.png
 
Bantu Lady Aaliyyah cocastic Nuzulati Naombeni tips za kupunguza kitrambiii!☺️

Nina kitambi msambao kimesambaa hapa chini ya kitovu 😂😁!!
Kwani hiko kitambi Mkwe wangu Mjeshi kasema hakitaki?

Kwamba kinafunika mchi wakati wa kutwanga karanga🙈🏃🏃🏃🏃

Mwambie hiyo ni ishara kuwa anakuhudumia vizuri 🤪
 
Karibu San zipo za kutosha sema shida baridi Kali sitaki kula nyingi 😂😂😂nitakutumia zingine
Na baridi la huko Mjukuu ni kali sana, Hivi Mkwe wangu bado hajarudi tangu aende kuwapatisha Urusi na Ukraine kwenye ile vita yao?

Fanya Unitumie Mjukuu, Daktari alinishauri kutokana na Umri wangu niwe nakula kila siku kuondoa baridi 😜
 
Na baridi la huko Mjukuu ni kali sana, Hivi Mkwe wangu bado hajarudi tangu aende kuwapatisha Urusi na Ukraine kwenye ile vita yao?

Fanya Unitumie Mjukuu, Daktari alinishauri kutokana na Umri wangu niwe nakula kila siku kuondoa baridi 😜
Hajarudi Babu nafanya mawasiliano nijue Bado yupo au nishaachwa ukute vita iliisha akapata mrusi 😂😂😂

Nitakutumia Babu usijali ila kuwa makini na afya ya bibiyetu hatakiw kufanya kazi ngumu😂😂
 
Back
Top Bottom