Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna mambo yanahitaji majaribio lakini sio kwenye kula 🤪

Nimewahi kujaribu kulalia matunda usiku, huwezi amini niliokolewa na uwepo wa Mayai kwenye Fridge.

Otherwise wale wadudu wa tumboni walitaka wanitoe roho maana walishaanza kuandaamana kwa kuunguruma aisee 😄🙌
😆😆😆😆

Kama hujazoea hukawiii kwenda kusaka msosi mtaani usiku mnene!!!!
 
Screenshot_20230501_171308_Instagram.jpg
 
😆😆😆😆

Kama hujazoea hukawiii kwenda kusaka msosi mtaani usiku mnene!!!!
Hakika, mwenyewe kuna siku iliwahi nitokea ingawa ilikuwa hotelini.

Bahati nzuri ile Hotel wanaweka vifaa vya kutengeneza Chai pamoja na heater. Vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi.

Kutokana na maumbile yetu, nahisi Wanaume hatuwezi kulala bila kula 🙈
 
Hakika, mwenyewe kuna siku iliwahi nitokea ingawa ilikuwa hotelini.

Bahati nzuri ile Hotel wanaweka vifaa vya kutengeneza Chai pamoja na heater. Vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi.

Kutokana na maumbile yetu, nahisi Wanaume hatuwezi kulala bila kula 🙈
Alafu ukiwa mwenyewe ndio inazidi!!!
Siku nyingine ukijaribu uwe na matunda karibu.
 
Utajuaje kwanza badilisha avatar weka ya mkaka mzurii kisha usijiite babu utapata mchumba nimekumegea siri mkuu😁
Hahahaha..........thanks for the tips Mjukuu

Ningekuwa Kijana haki ya nani ningepambania kombe kama wanavyosema Vijana.

Bahati mbaya Mvi zangu hazisikii Piko. Yaani nimepaka Piko hadi ile anayopaka Donald Trump lakini imegoma Mkuu 🤪🏃🏃
 
Back
Top Bottom