Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
.Eeh baba
Kama kawaida yetu mwanangu
.Eeh baba
Kama kawaida yetu mwanangu
Safari njema wapi kuvukia tunduma kasumuloEeh baba
Kama kawaida yetu mwanangu
Mkweo mahari haijamshinda ila nimeona anichukue tu Bure ananidekeza sana babu had nashindwa kuhema vizuri mjukuu wako 😂😂😂Ila kotilako ataletaMe nilijua hizo habari njema ni za kuniletea Mkwe, hivi yule Mkwe ile mahari ya shilingi milioni 20 tuliyomtajia ameshindwa kulipa?
Mwambie mambo mengine yanaongeleka akishaleta Koti la Babu 🤗.
Wacha niwahi shambani tu 🤪
Hakuna kundoka Bure Nyumbani, hivi zile ada tulizokulipia Feza Girls atalipaje ukiondoka bure 🤗Mkweo mahari haijamshinda ila nimeona anichukue tu Bure ananidekeza sana babu had nashindwa kuhema vizuri mjukuu wako 😂😂😂Ila kotilako ataleta
Siku moja twende wote basi, Wigelekelo nimetamani kusafiri kwenye hayo magari.
Kweli Babu 😀Hakuna kundoka Bure Nyumbani, hivi zile ada tulizokulipia Feza Girls atalipaje ukiondoka bure 🤗
Ngosha Wigelekelo upo mkuu?
Hilo tembele🔥🔥🔥Saint Anne hizi nauza mwenyewe hapa nimewaletea walimuuuu!☺️ Fungu kubwa kama lotreee 😁😁!!
Kuna na mchicha kabegii nyanyachunguu ukioda nakuleteaaa
AsanteHakika Mungu ni mwema poleni sana na hongereni kutoka salama !!
Huku kwetu huu msimu wa mvua vitu vinaunguaga sana Kutokana na Radi na kuacha switch on!!
kwelii tahadhari muhimu sana wapendwa!!
Poleni jamani. Mungu ni mwema .Asante
Usiwaache watoto pekeyako
TushapoaDuh.......
Pole sana nkamu
AsantePole mkuu
AsantePoleni sana
Ni mwema sanaPoleni jamani. Mungu ni mwema .
Huwa anakubebea pochi ? Jishushe mwaya umuombe msamaha na umempeti peti .





anishikie tyuuh dear, siwezi kumpeti peti eti.Wee acha fix binamu weka pichaa hapaUtakua huwa unapishana nazo,
Huu Uzi huwa unakimbia spidi sn![]()




Usinambieee cazee,Safi sana ndugu kwa kuelewa ujumbe.Ijapokuwa kuna wengine humu washaanza kunibhokoza kuwa niwafafanulie.
We nkubalie me nime come true moja kwa moja



