Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
SamalekoNimekaaa hapa nafanya mathematics
SamalekoNimekaaa hapa nafanya mathematics
Ukute ni dada yangu na simjui 🥴Kiukweli kwa nilivyomtazama, wenye udada yule alipita, yuko above 40yrs.
Sema ana umbo dogo mnooo,
Niseme mala ngap wakat nshamaliza kusemaHebu sema kweli,![]()
Macho yakoUsinambieee cazee,![]()
Kwann jaman?? Hebu fanya uwe Main chick bhanaaWeuwe , raha .. Sijawah kuwa main chick kabisa lol .
Cazee mie ni ndugu yakoo bhanaa, wee huogopi Incest?Niseme mala ngap wakat nshamaliza kusema
Unamjulia wapi Dr Lizzy ?Uongo gani sasa??
Akati ni kweliii.
Ebanaaeeeh,Baadae ya leo, km Simba itashinda na kuingia Semi, naweka picha full tangu utosini had unyayoni liveeee.
![]()

Dating is not my thing . nafanyaje niwe main jamani nipe desa .Kwann jaman?? Hebu fanya uwe Main chick bhanaa
Nilipanga nikupatie zawadi ya ice cream uwapelekee kina H May mosi, ngoja niwanunulie toys tu.
Kapige tyuuh bina, ili unionee live binamu yakooEbanaaeeeh,
ebu Ngoja nkapige maombi![]()



Sasa wee dear hujunjaniii??Dating is not my thing . nafanyaje niwe main jamani nipe desa .




Aina noma binamuKapige tyuuh bina, ili unionee live binamu yakoo
![]()

Unaona sasa!😅Namjulia nyumbani kwake..
Poleni sanaNilipita kuwasalimia wapendwa.
Tuendelee kuchukua tahadhari majumbani kwetu,
Msiache switch on jamani
Umeme una mengi.
Tulipata ajali ya moto...almost vitu vyote chunbani vimeungua..maisha yanaanza upya kununua kila kitu upya.
Ashukuriwe Mungu,hakuna aliyeumia
Na moto ulidhibitiwa,haukufika vyumba vingine na sehuleni.
Uliishia koridoni.