kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
Naona unauanza mwendoHabari selfikaView attachment 2602080
Naona unauanza mwendoHabari selfikaView attachment 2602080
Leo zinapanda hapa vocha za elf 5 tuuBila kifurushi hakuna kuselfika

Duh.......Nilipita kuwasalimia wapendwa.
Tuendelee kuchukua tahadhari majumbani kwetu,
Msiache switch on jamani
Umeme una mengi.
Tulipata ajali ya moto...almost vitu vyote chunbani vimeungua..maisha yanaanza upya kununua kila kitu upya.
Ashukuriwe Mungu,hakuna aliyeumia
Na moto ulidhibitiwa.View attachment 2602114
Nilipita kuwasalimia wapendwa.
Tuendelee kuchukua tahadhari majumbani kwetu,
Msiache switch on jamani
Umeme una mengi.
Tulipata ajali ya moto...almost vitu vyote chunbani vimeungua..maisha yanaanza upya kununua kila kitu upya.
Ashukuriwe Mungu,hakuna aliyeumia
Na moto ulidhibitiwa.View attachment 2602114
Zinanitosha.na zinakutosha hiyo nguo . Duh haujanenepa wewe ?
Poleni sanaNilipita kuwasalimia wapendwa.
Tuendelee kuchukua tahadhari majumbani kwetu,
Msiache switch on jamani
Umeme una mengi.
Tulipata ajali ya moto...almost vitu vyote chunbani vimeungua..maisha yanaanza upya kununua kila kitu upya.
Ashukuriwe Mungu,hakuna aliyeumia
Na moto ulidhibitiwa.View attachment 2602114
Unataka kutengeza nini boom
Ndio ya kienyeji!!Ya kienyeji haya![]()
Wee Kiduku kwamba ndio ushatupia??? Sijaonaaa irudiwee irudiweeKho kho kho
Mengine tunachemsha mengine tunakaanga truuu mengine Kwenye chipsss mengine karanga za mayai mengine Kwenye mkatreeee Ndugu mjumbe!!Unataka kutengeza nini boom
Nilipita kuwasalimia wapendwa.
Tuendelee kuchukua tahadhari majumbani kwetu,
Msiache switch on jamani
Umeme una mengi.
Tulipata ajali ya moto...almost vitu vyote chunbani vimeungua..maisha yanaanza upya kununua kila kitu upya.
Ashukuriwe Mungu,hakuna aliyeumia
Na moto ulidhibitiwa,haukufika vyumba vingine na sehuleni.
Uliishia koridoni.
View attachment 2602114
duh una kamwili kazuri . Nguo za huko chini nimegawa zote . Vipi mvua hukoZinanitosha.
Za 2008 ni sketi solo.
Solo huwa ni freesize.
Nyingine kama hilo gauni ni Mpira..kwahiyo inafata mwili.
Nyingine ni vitenge..huwa napunguza na kuongeza.japo hata sijabadilika sana,, naona nakuwaga vilevile tu.
Hebu tuone 🤔Zinanitosha.
Za 2008 ni sketi solo.
Solo huwa ni freesize.
Nyingine kama hilo gauni ni Mpira..kwahiyo inafata mwili.
Nyingine ni vitenge..huwa napunguza na kuongeza.japo hata sijabadilika sana,, naona nakuwaga vilevile tu.
Iiiiiiiiigggggggweeeeeehhhh 😍😍😍😍!!Tuna wapa hi Antonnia hapo ni baada kushiba pilau yetu ya iddView attachment 2602127
Wew huyo kama kawaida Yako😂😂😂Mtrotro lipsssss mtrotro unajustiriiiii weeehh unaoneshaka Uko mtramuuu kinouma
Ile misuli acha kabisa ndugu ooh ni noma Sana Babu hafai kabisa 😀Usijareee kabesaaa babuu salamu zimefika!!
Kabisa ufanye hivo tumemiss kuona ile misulii☺️🤭!! kwa sauti ya Aaliyyah ☺️