Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

a

Mkuu jiheshimu , uongo upi huo uniache kabisa ..
tuko huru kupost picha yoyote iwe filtered or not .
Ndo maana Selfika watu wanapoteaa, kuna mamlukii wamevamia hapa, yaan ile vibee imepoteaaa kabisaaa.,
 
Huweki picha kwa sababu ya mtu?
Ingekuwa tunaogopa watu basi huu Uzi usingefika hapa leo.


Humu ndani Kuna mengi,
Wengine tangu Uzi unaanza tushatukanwa hadi basi ila picha hatuachi kuweka
nachekaaa km mazuriiii.
Dada unachachuka sometimes nawee
 
Irudishe tu mwaya
Bando lako, hata ukipondwa, hukatiki mguu Wala kichwa
Ungekuwepo kipindi uzi unaanza nadhani ungeukimbiaYale masekeseke yamepita humu.

Wewe weka tu
Amini Mungu alikuumba Kwa mfano wake na akaona kuwa ni vema.

Filter tumepewa tuzitumie.

Kwann sijui leo nachekaaa mnoo.
Yaan bas tyuuh
 
haha mtaani umezimaliza
Sasa unataka ukahamie kwa MT.
😅😅😅😅 ni kukiwashaaa tu.. nipo safii... natembeee shwaa shwaaaa... kifua mbeleee
Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom