Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,543
- 35,733
mwamvuli unanikinga na utelezi👍Love is blind![]()
Aisee..mwamvuli unanikinga na uteleziView attachment 2591498
🤲🙏Kwema tu
Nashukuru Mungu kwa kweli .
Kule hadi private car otherwise uwe unaenda maeneo ya karibu . Route ya Kawe halafu MikocheniShida yake ndio hiyo
Daladala za kuunga
Ndio shida ya Goba,kumekaa kushoto.
Ni route ya wapi huwa unapiga?
DuhKule hadi private car otherwise uwe unaenda maeneo ya karibu . Route ya Kawe halafu Mikocheni
kwa shangazi yako ?Lodge ya nn tena![]()
Kibanda umiza 😂unaenda wapi sasa jaman usiku huu
kwa shangazi yako ?
Yeah pana mwendo , nilsoma day form five hivyo nishazoea . Kutoka Upanga hadi gongo la mboto . Tukitoka shule hao tunatembea hadi kariakoo .Duh
Mbali mno
Mbona mapema ??Usiku mwema
Wee dear mie sijaonaa hiyo pichaaa, fanyaa kurudiaaa,Siweki tena picha humu