Ntiluseswa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 670
- 2,278
Jitahidi ukue uache ujinga mkuu.Nimekosa mimi nimekosa sana
ndo mimi aisee 😂huaminiHakuna kitu hapo
Weka picha yako
Nikukua nitamwachia nani uhu ujinga wangi 😂Jitahidi ukue uache ujinga mkuu.
Unaumiza msichana asiye hata na ugomvi na mtu why?
😆😆Ahahah
nitakuja na baisikeli yangu ya anita ile niliotoka nayo kijijiini uko
ndo mimi aiseehuamini
Nipo,,nambieShemelaaa
Upo kijana
Jirani yako nipo hapa nakulinda mtoto mzuri!Nikajisemea nisije pondwa zaidi , sijaweka picha siku nyingi pia ndo maana pia .
Kuna purukushani tu za hapa na pale 😆Saint Anne , weh kulikuwaje humu ? Picha nishaifuta hadi nianze kuitafuta tena na kuicrop .
Cuzo huyooo!Nipo,,nambie
Asante sana jiraniJirani yako nipo hapa nakulinda mtoto mzuri!
Nzuri SanaAsante sana jirani
habari yako ??
Duh hatari , bora kumetulia sasa .Kuna purukushani tu za hapa na pale 😆
Sekeseke na mitifuano kama yote.
Unaweza post picha, mtu anakuja tu kukudis kama ulivyofanyiwa.. ili mradi tu ujisikie vibaya.
Yaani hakuna jipya chini ya selfika😂
Niletee zawadi afu tumissuwane SAWACuzo huyooo!
Tulikumiss Cuzo ake
Cuzo Ake Coca handsome jamani 🔥
Inakuwaga tu upepo mbaya unapita mara moja mojaDuh hatari , bora kumetulia sasa .
Sipendi maneno mie
Huku wazaramo wamenishinda
Kwema tuNzuri Sana
Mnaendeleaje Apo mtaani.
Amani ipo
AiseCuzo Ake Coca handsome jamani 🔥