Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
niachie ya nini ??mbona umefunika sura 😂
Mnanichefua 😫😫
niachie ya nini ??mbona umefunika sura 😂
ili tuone vizuri jamani kwani kuna shida 😂niachie ya nini ??
Mnanichefua 😫😫
watu wako judgmentalKwann![]()
Weka yako full , tuioneili tuone vizuri jamani kwani kuna shida 😂
watu wako judgmental
Mtu anaweka hasty comment kisa filter ??
nimeiweka hata dk20 hazijaisha swipe juu kidogo....Weka yako full , tuione
😂😂😂 dhambi kubwa san ya uongokwani kutumia filter dhambi ????
hunijui , Tuache na filter zetu .
nimeiweka hata dk20 hazijaisha swipe juu kidogo....
Mimi napendelea zaidi old gospel etiYeah usiku wanapiga nyimbo nzuri sana , siwezi kulala bila nyimbo mie .
ngoja niwatagWeka yako hapa tukuone
Mkuu jiheshimu , uongo upi huo uniache kabisa ..😂😂😂 dhambi kubwa san ya uongo
Na joke tu dada usipanikia
Mkuu jiheshimu , uongo upi huo uniache kabisa ..
tuko huru kupost picha yoyote iwe filtered or not .
Sipendi matani , so please just quit ...😂😂😂 dhambi kubwa san ya uongo
Huweki picha kwa sababu ya mtu?Siweki tena picha humu

Yani umenikera weweNa joke tu dada usipaniki
ooh mie naboreka na nyimbo nikisikiliza sana .Mimi napendelea zaidi old gospel eti
Yaani nikianza kusikiliza najisikia vizuri
Ahahah mimi napenda utani pole mamyYani umenikera wewe
wengine selfika ndo stress free zone , humu hamna comment mbaya .
Mi Kuna nyimbo huwa hazinichoshiooh mie naboreka na nyimbo nikisikiliza sana .
nahitaji nyimbo mpya .. nimuimbie Mungu aiseee
Asante Anne , wiki hii ngumu naona watu wananiudhi hahahahahaHuweki picha kwa sababu ya mtu?
Ingekuwa tunaogopa watu basi huu Uzi usingefika hapa leo.
Humu ndani Kuna mengi,
Wengine tangu Uzi unaanza tushatukanwa hadi basi ila picha hatuachi kuweka![]()