Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
asante nitajaribu , nione kama nitawezaShona hata kadogo
Mimi safari hii nashona tudogo
Havitii uvivu..fasta tu unamaliza kushona.
Inabidi utafute mfuko mzuri mgumu.
asante nitajaribu , nione kama nitawezaShona hata kadogo
Mimi safari hii nashona tudogo
Havitii uvivu..fasta tu unamaliza kushona.
Inabidi utafute mfuko mzuri mgumu.
kujigeuza tu mwenyewe . Hata sie tunaoshtuka ukifunga tu macho usingizi huoUsingizi unakuwa mtamu mvua ikinyesha
Mambo gani?Mambo yetu yale wengine yani 🤣🤣🤣🤣
Eeh Famasihara😂😂😂Famasihara eeh
Majukumu Tu BossMungu ni mwema
Umepotea Mkuu
AmenI'm doing great praise the Lord .
Mambo ya vijana hayoView attachment 2561359
Mtakuja kujiua
Daah mwanaume smart na anaenukia ana mvuto wake jamaniLeo nimetoka posta nimepanda na kaka mmoja kwenye mwendokasi
Huwa nasimama kwenye maungio yale,
Yeye kapandia Jiji.
Kaja kusimama mbele yangu tukawa tunaangaliana..nilikuwa nimeinama alipopanda akanigonga nikashtuka,nikamuangalia nikakuta HB hatari.
Mzuri jamani,amevaa vizuri suti yake,halafu ananukia.
Mwee safari nimeiona fupi,
Naye kasimama palepale hadi mwisho,
Hajasogea hata mbele yake.
Tumeishia kugongana gari ikiyumba..
Mara ahamishie mkono niliposhikilia,
Na mimi hata sikuutoa.
Ila kumuangalia nilikuwa siwezi,nikawa naibia,,nimevaa cap.
Nikasema hapa lazima nimshinde shetani,,wakati wa kushuka ntashuka haraka yasije Kutokea mengine.
Naye kumbe akawa anashukia Mbezi stand.
Aisee gari imesimama,nachukua begi langu pale chini nilikuwa nimeweka
Kaka amesimama tu ananiangalia.
Nilivyomuangalia akageuka kuangalia mlango wa Kutokea.
Nimeishia kutabasamu tu na kuondoka .
Nimeokoka nampenda Yesu.
Wanaume jitahidi muwe mnanukia jamani,
Wakati wa kwenda nilipanda nikakaa mwisho kabisa na wakaka wote,
Aliyekaa pembeni yangu ananuka jasho jamani chaa
Angalau safari yangu ya kurudi imekuwa mubashara.

Safari inakuwa fupi..Daah mwanaume smart na anaenukia ana mvuto wake jamani
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Usipotee sana Mkuu.Majukumu Tu Boss
Duh..View attachment 2561359
Mtakuja kujiua
Mama Junia taratibu Aunt yangu hajakua Bado😂😂😂Leo nimetoka posta nimepanda na kaka mmoja kwenye mwendokasi
Huwa nasimama kwenye maungio yale,
Yeye kapandia Jiji.
Kaja kusimama mbele yangu tukawa tunaangaliana..nilikuwa nimeinama alipopanda akanigonga nikashtuka,nikamuangalia nikakuta HB hatari.
Mzuri jamani,amevaa vizuri suti yake,halafu ananukia.
Mwee safari nimeiona fupi,
Naye kasimama palepale hadi mwisho,
Hajasogea hata mbele yake.
Tumeishia kugongana gari ikiyumba..
Mara ahamishie mkono niliposhikilia,
Na mimi hata sikuutoa.
Ila kumuangalia nilikuwa siwezi,nikawa naibia,,nimevaa cap.
Nikasema hapa lazima nimshinde shetani,,wakati wa kushuka ntashuka haraka yasije Kutokea mengine.
Naye kumbe akawa anashukia Mbezi stand.
Aisee gari imesimama,nachukua begi langu pale chini nilikuwa nimeweka
Kaka amesimama tu ananiangalia.
Nilivyomuangalia akageuka kuangalia mlango wa Kutokea.
Nimeishia kutabasamu tu na kuondoka .
Nimeokoka nampenda Yesu.
Wanaume jitahidi muwe mnanukia jamani,
Wakati wa kwenda nilipanda nikakaa mwisho kabisa na wakaka wote,
Aliyekaa pembeni yangu ananuka jasho jamani chaa
Angalau safari yangu ya kurudi imekuwa mubashara.
Siku za hatari ( hot ) sio sawa na siku hedhi .. au mie bado mtoto 🥲😅Khe 😀 siku za hedhi hasira aisee wengi tunapitia hii 😀😀😀Ukiwa na mtu hakuelewi mnaweza pigana😂
Nilishakuelewa nimezungumzia mabadiliko nayoelewa ambayo hutokea siku za hedhi sio za hatariSiku za hatari ( hot ) sio sawa na siku hedhi .. au mie bado mtoto 🥲😅
Mna kazi sana 😅😅😅Nilishakuelewa nimezungumzia mabadiliko nayoelewa ambayo hutokea siku za hedhi sio za hatari
Tena ngumu sana😀😀😀Mna kazi sana 😅😅😅
Kumbe ndo wewe ulikuwa unaniangalia kwa kuibia kwenye mwendokasi siku ile!!Leo nimetoka posta nimepanda na kaka mmoja kwenye mwendokasi
Huwa nasimama kwenye maungio yale,
Yeye kapandia Jiji.
Kaja kusimama mbele yangu tukawa tunaangaliana..nilikuwa nimeinama alipopanda akanigonga nikashtuka,nikamuangalia nikakuta HB hatari.
Mzuri jamani,amevaa vizuri suti yake,halafu ananukia.
Mwee safari nimeiona fupi,
Naye kasimama palepale hadi mwisho,
Hajasogea hata mbele yake.
Tumeishia kugongana gari ikiyumba..
Mara ahamishie mkono niliposhikilia,
Na mimi hata sikuutoa.
Ila kumuangalia nilikuwa siwezi,nikawa naibia,,nimevaa cap.
Nikasema hapa lazima nimshinde shetani,,wakati wa kushuka ntashuka haraka yasije Kutokea mengine.
Naye kumbe akawa anashukia Mbezi stand.
Aisee gari imesimama,nachukua begi langu pale chini nilikuwa nimeweka
Kaka amesimama tu ananiangalia.
Nilivyomuangalia akageuka kuangalia mlango wa Kutokea.
Nimeishia kutabasamu tu na kuondoka .
Nimeokoka nampenda Yesu.
Wanaume jitahidi muwe mnanukia jamani,
Wakati wa kwenda nilipanda nikakaa mwisho kabisa na wakaka wote,
Aliyekaa pembeni yangu ananuka jasho jamani chaa
Angalau safari yangu ya kurudi imekuwa mubashara.