National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,199
aunt Bantu Lady mvua kubwaaa sana nimeshindwa ondoka fanya jambo 😊😊
🤗🤗🤗 hata nimesafiri mumvua huooo.. nimetulia tu miguu juuEendiwoooooooo dear umbless mjomba jana atakua alitingwa alipitwa!!
Unaenda wapi nahio mvua mjomba??? Safari njema kwako🤗🤗🤗 hata nimesafiri mumvua huooo.. nimetulia tu miguu juu
Nakuletea ile zawadi yako 😌😌😌Unaenda wapi nahio mvua mjomba??? Safari njema kwako
na enjoy safari mjombaa!!
Sawa nakusubiri kwa hamu kubwa mjomba karibu sanaNakuletea ile zawadi yako 😌😌😌
Uniandalie mambo nipendayo 😊😊😊 najua unajua napenda nini na ninachotakaSawa nakusubiri kwa hamu kubwa mjomba karibu sana
Sisi tuliofanya kazi enzi za Mkoloni Mwingireza tulilazimika kuwa smart kuendana na masharti ya Mkoloni,Babu uko smart hongera
Evening granpaahhh!!!
Kwahio saii uko na miaka mingapi kwani babuu?? Unaonekana kijana kabisa wa kuliwa bila chumvi wala nener 🤓😂🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️!!Sisi tuliofanya kazi enzi za Mkoloni Mwingireza tulilazimika kuwa smart kuendana na masharti ya Mkoloni,
na hiyo picha nilipiga mwaka 1959 wakati Mkoloni anajiandaa kumkabidhi Nchi Mwalimu 😎🏃🏃
Mvua inanyeshaSawa nakusubiri kwa hamu kubwa mjomba karibu sana

Mwaka 58Sisi tuliofanya kazi enzi za Mkoloni Mwingireza tulilazimika kuwa smart kuendana na masharti ya Mkoloni,
na hiyo picha nilipiga mwaka 1959 wakati Mkoloni anajiandaa kumkabidhi Nchi Mwalimu![]()


Mvua zikinyeshaMy daddy , my dady.. Your baby is singing . I will be singing , dancing and chanting for the rest of eternity .

UshaanzaKwahio saii uko na miaka mingapi kwani babuu?? Unaonekana kijana kabisa wa kuliwa bila chumvi wala nener!!


Ungemkaribisha morning glory ukute na yeye kaokoka na ni mchungajiLeo nimetoka posta nimepanda na kaka mmoja kwenye mwendokasi
Huwa nasimama kwenye maungio yale,
Yeye kapandia Jiji.
Kaja kusimama mbele yangu tukawa tunaangaliana..nilikuwa nimeinama alipopanda akanigonga nikashtuka,nikamuangalia nikakuta HB hatari.
Mzuri jamani,amevaa vizuri suti yake,halafu ananukia.
Mwee safari nimeiona fupi,
Naye kasimama palepale hadi mwisho,
Hajasogea hata mbele yake.
Tumeishia kugongana gari ikiyumba..
Mara ahamishie mkono niliposhikilia,
Na mimi hata sikuutoa.
Ila kumuangalia nilikuwa siwezi,nikawa naibia,,nimevaa cap.
Nikasema hapa lazima nimshinde shetani,,wakati wa kushuka ntashuka haraka yasije Kutokea mengine.
Naye kumbe akawa anashukia Mbezi stand.
Aisee gari imesimama,nachukua begi langu pale chini nilikuwa nimeweka
Kaka amesimama tu ananiangalia.
Nilivyomuangalia akageuka kuangalia mlango wa Kutokea.
Nimeishia kutabasamu tu na kuondoka .
Nimeokoka nampenda Yesu.
Wanaume jitahidi muwe mnanukia jamani,
Wakati wa kwenda nilipanda nikakaa mwisho kabisa na wakaka wote,
Aliyekaa pembeni yangu ananuka jasho jamani chaa
Angalau safari yangu ya kurudi imekuwa mubashara.

