Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
I'm doing great praise the Lord .Missed you more,, i am alright sijui wewe
I'm doing great praise the Lord .Missed you more,, i am alright sijui wewe
OnaMungu ni mwema
Umepotea Mkuu
Forever and always Kapachino juzi ulipotea ukapitwa na vitruuu vikareeee!!✌️✌️toto zuri
Ebu nifanyie namna aunt Antonnia , nilale roho ikiwa na furahaForever and always Kapachino juzi ulipotea ukapitwa na vitruuu vikareeee!!✌️✌️
Nimekesha nakuota, plus baridi na mvua ya upepo 🙂🙂🙂Mbona bado asubuhi mjomba ulikesha nini!!!☺️☺️
Haya Usitoke hapo nikuangalizie mjomba
😊😊😊😊 jioni tukitoka out uvae hiyo hiyo basiYa juzi hii mjomba usiku mwema! National Anthem
Sauwaa mjomba wangu ukishasema mi ninani hata nipinge!!😊😊😊😊 jioni tukitoka out uvae hiyo hiyo basi
😊😊😊 kwasabu tunaendana, haitokaa tukapingana aunt wangu kipenzi.. jioni tulivuuu ka upepoo yaaani burudani mioyo ifurahiSauwaa mjomba wangu ukishasema mi ninani hata nipinge!!
Tunasubiria jioni hio!
Wanaliwa ndio!kuna sehemu inaitwa fufu pale wilaya ya chamwino wanakula sana punda.Hivi punda wanaliwa???
Kila kitu kipo nishindwe mimi. Asante Ankol tena hata nilipo, hali ya hewa inaruhusu chai jioni hii...
😅 inakulate hadi nilipokaaa yani... hapa A.c kali unahisi baridi badae namsubiri bwana mdogo Lovelovie na mpwayungu village wanipeleke maeneo yaoKila kitu kipo nishindwe mimi. Asante Ankol tena hata nilipo, hali ya hewa inaruhusu chai jioni hii...
Vizuri sana Ankol Mpwayungu bado hajaondoka eeh? Na ungefika karibu na weekend ndiyo balaa zaidi.😅 inakulate hadi nilipokaaa yani... hapa A.c kali unahisi baridi badae namsubiri bwana mdogo Lovelovie na mpwayungu village wanipeleke maeneo yao
Mpwayungu kaniambia nimtafute, naona hakuna kuharibika kitu, na kaisha niambia nikodi harrier tako la nyani, nisipande bodaboda 😅Vizuri sana Ankol Mpwayungu bado hajaondoka eeh? Na ungefika karibu na weekend ndiyo balaa zaidi.
Ila kesho tu weekend huanza Jumatano... 😁😁😁😁
Ana masharti huyo 😅😅😅😅😅 lazima akupeleke Tunza.Mpwayungu kaniambia nimtafute, naona hakuna kuharibika kitu, na kaisha niambia nikodi harrier tako la nyani, nisipande bodaboda 😅