National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,199
π π π anipeleke kwanza malaika alafu ndio tumalizie tunza .. ingawa tajiri apangiwiAna masharti huyo π π π π π lazima akupeleke Tunza.
π π π anipeleke kwanza malaika alafu ndio tumalizie tunza .. ingawa tajiri apangiwiAna masharti huyo π π π π π lazima akupeleke Tunza.
Na alivyo atataka kila kitu aamue yeeye. Sasa huko Ankol macho yasiwe juu juu watoto wa Kisukuma wamejazia haswaaa...π π π anipeleke kwanza malaika alafu ndio tumalizie tunza .. ingawa tajiri apangiwi
π π π tajiri habishiwi, akitaka hata nifute viatu vyake kila baada ya dk moja nitakubali tu..Na alivyo atataka kila kitu aamue yeeye. Sasa huko Ankol macho yasiwe juu juu watoto wa Kisukuma wamejazia haswaaa...
Utulie kabisa , wana watu wao matajiri wa Mwanza, wasije kukuingiza mkenge Ankol wetu.
Ankol hapo Tunza, jamani mbona kama natamani nipae?View attachment 2560626
Bantu Lady tayari boss mpyayungu kaniita.. hakuna kinacho habaribika π€£π€£π€£
kwa udhamini wa mpwayungu π π π najua nipo na tajiri kubwaaaAnkol hapo Tunza, jamani mbona kama natamani nipae?
Mtakula bata, sisi tutakuja wakati mwingine na Sumbai.
Kama nakuona Ankol kwa raha zako.kwa udhamini wa mpwayungu π π π najua nipo na tajiri kubwaaa
Napunga ka upepo huku napiga ka mluzi tu, huku kawimbo masikioniKama nakuona Ankol kwa raha zako.
Napunga ka upepo huku napiga ka mluzi tu, huku kawimbo masikioni
View attachment 2560650
aunt Bantu Lady nilikuwa namsubili malaika Antonnia tuje kulishana π€£π€£π€£Wow Ankol jioni yako, inakuwa murua kabisa. Enjoy Ankol sana
ππππππ mchemsho jamani Ankol mbona hivi, nimetoka kunywa chai na meatpie but huo mchemsho acha kabisa. Enjoy Ankolaunt Bantu Lady nilikuwa namsubili malaika Antonnia tuje kulishana π€£π€£π€£View attachment 2560683View attachment 2560684
Huu mchemsho una kazi maalumu hapo badae π€£π€£π€£ππππππ mchemsho jamani Ankol mbona hivi, nimetoka kunywa chai na meatpie but huo mchemsho acha kabisa. Enjoy Ankol
Awwwwwwwwπππππ!!aunt Bantu Lady nilikuwa namsubili malaika Antonnia tuje kulishana π€£π€£π€£View attachment 2560683View attachment 2560684
ππππ inakulate hadi nilipokaaa yani... hapa A.c kali unahisi baridi badae namsubiri bwana mdogo Lovelovie na mpwayungu village wanipeleke maeneo yao
ππππ usichelewe nasubiri uninywesheAwwwwwwwwπππππ!!
Nakuja mjomba mchemsho unatamanisha!!
Enjoy mjombaaa!,
Leo Tuesday Tunza unafanya nin?!Nimekaa hapa, alafu sioni mambo yangu yale.. mdogo wangu au umenidanganya π€£π€£π€£View attachment 2560689
π€£π€£π€£ jumanne watu hawalagiLeo Tuesday Tunza unafanya nin?!