Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mzungu kaniachia malezi
Natapa tapa🤣

Utadhani sikuwaona wabongo wenzangu
Sahii ningekuwa nakimbizana na 50k za ustawi
Si ulikua unataka upate shombe baby uwe unatudolishia status😂
Pambana na hali dyadya.

Ded: Yatapita by Diamond
 
Nakumbukaga nilikuwa nikiingia na mwanangu mmoja hivi wanatugombania Kama mpira.

Utasikia hawa ndo wanaume Sasa wameingia.

Hapo jua tunakata boom karibia lote kisha tunaenda shindia mikate tukirudi maskani cc sumbai
Hiyo kula mikate tulikuwa kitaalamu tunaita kukomunika
 
Back
Top Bottom