Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Mimi mwenyewe napenda cake

Ila huwa natamani kula nikiona sehemu,.
Nikipika Mimi hamu yote ya kula inaniisha.


Ungekuwa kama mtungi wa gesi Mihan,ule mdogo


Nipo najifunza,kwahiyo napika za kutosha hadi walishachoka kula hapa nyumbani.
Ungekuwa huogopi watu ningekuwa nakuletea hapo Mbezi kwenye ngazi hizo za stand ya daladala

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah haha, mtungi wa mihan kilo15 labda.🤣🤣🤣

Nicheki basi nije kuchukua hapo mbezi Anne, mimi siogopi kitu wala.🤣
 
Njoo Lenie
01C7A45F-F3CF-4169-B40A-4832957355EC.jpeg
 
Back
Top Bottom