Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23]
Mimi mwenyewe napenda cake

Ila huwa natamani kula nikiona sehemu,.
Nikipika Mimi hamu yote ya kula inaniisha.


Ungekuwa kama mtungi wa gesi Mihan[emoji1787],ule mdogo[emoji2098]


Nipo najifunza,kwahiyo napika za kutosha hadi walishachoka kula hapa nyumbani.
Ungekuwa huogopi watu ningekuwa nakuletea hapo Mbezi kwenye ngazi hizo za stand ya daladala[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah haha, mtungi wa mihan kilo15 labda.🤣🤣🤣

Nicheki basi nije kuchukua hapo mbezi Anne, mimi siogopi kitu wala.🤣
 
Njoo Lenie
01C7A45F-F3CF-4169-B40A-4832957355EC.jpeg
 
Abiria chunga mzigo . Weekend unakuwa kuwa karibu na babe ..
Ndyoooo nakua kwa babeee, tunapeana experience za life la ndoa. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom