Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ooh papaaa kwenye moyo wangu ushaweka alama na chataa kukupenda wewe sina shakaa
Mmhh! Kwenye akili yangu niwewe peke yako umenikaaa
Kwengine roho inakataa ooh!
Moyo umekuamini
Maana huniishi akiliniiii
Sijui umenipa niniiii
Mmh! Au umenitupia kajini
Ndiomana umeniwin
Maana huniishi akiliniiii .
Imani nilonayooo imetengenezwa nawewe huko nyuma waliniangusha ukaniokota ukanipangusaa
Upendo tulonao umetengenezwa namimi nawewe
Penzi tamuu




Usiku mwema wapendwa na muwe na weekend njema
Hayaaa kumekuchaaaaaaa!!! Hadi wimboo unaimbaaa kupatwaa kwa mahaba huku.
 
Back
Top Bottom