cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Wivuuu tyuuh kwa Genius wangu lol.Hakuna genius wa hovyo kama huyo!
CCTV ipo hizo video utazikuta kwa Mange!






Wazipelekee hata hatujarii yaan, khaaaah
Wivuuu tyuuh kwa Genius wangu lol.Hakuna genius wa hovyo kama huyo!
CCTV ipo hizo video utazikuta kwa Mange!






Uko poaaa!!. Wait kidgMambo nasubiria moment
Hakunaaa.
sawa habari yako?Hakunaaa.
Nipo poa mama G, hamjambo huko ?Uko poaaa!!. Wait kidg
Salamaaa tyuuh.sawa habari yako?
Hatujamboo, vipi wee.Nipo poa mama G, hamjambo huko ?
hongera Sana munywanii;Ndi omuka munywaniii ! Nabilile ebitoke ne emfuru apa naigutaaa vya hatari!😂
Una hela weweJaman aliyepo ktk uzi wa road trip akanitag, nautafuta mno siuoni. Nna shda nao sanaa, plz mnisaidie.



cocastic



naomba uni tag, hela niitoe wapi.Hahaha nilikuwa cafe 2 pale.Food tester WA daruso bar
Yan food tester anaonja full plate kabisaaa. Ukisha onja ndio imetoka hununui chakula
Nakumbukaga nilikuwa nikiingia na mwanangu mmoja hivi wanatugombania Kama mpira.white mwanangu sana, enzi zangu alikuwa ananipa info zote, nani mpya nani katoka.. nilikuwa nafaidi sana 😅😅😅 .. mie pale alwatan
Chombo ya kamandaWeee mimi humu nawawezea wapii mkuu!! Nimeridhika na nilienae sitaki hekahekaa zahumuuu kabesaaa!!
Nimeshangaa tyuuu naonaga huyo mzee hanaga habare za mapenzi kabisa kutwa kupost ng'ombe na mitumbwi tu kumbe nae anatelezaaa as usual hahaa!!
Kwamba leo napewa vocha au nimeona vibaya cocasticnaomba uni tag, hela niitoe wapi.
Kwan hapa nlitaka nikuombe vochaa, bora umeniwahi mwenyewee.
Yeah it's furahi dayyy
Hapo ndio nimeelewa ujue haya wala usiwazeUnajizima data eeeh?. Wee ndo unipe mie. Afu kanitag kwa huo uzi bas. Plz serious


cocastic