Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Inabidi maana ahadi umegoma kutimiza 😏

Leo kweli? Mwenzio nahesabia 2023 ishaisha since Jan is over.😁

Dada H hajambo kabisa 🙂 Hivi did you know her dad?
Ahadi ni kama katiba utekelezaji lazima.

Nikahisi nipo sahihi since hatujaonana humu toka 2023 imeanza.

That's great kama hajambo.

Hapana, kwanini umeniuliza?
 
Ahadi ni kama katiba utekelezaji lazima.

Nikahisi nipo sahihi since hatujaonana humu toka 2023 imeanza.

That's great kama hajambo.

Hapana, kwanini umeniuliza?
Hmmm...isiwe kama katiba ya nchi maana ile ni  un tekelezable 🤔😁

Ofcourse!!! Sema tu mie nakaribia 2024 😶‍🌫️
...because he passed away last month 😢
 
Hmmm...isiwe kama katiba ya nchi maana ile ni  un tekelezable 🤔😁

Ofcourse!!! Sema tu mie nakaribia 2024 😶‍🌫️
...because he passed away last month 😢
Hapana si kama ya nchi.

Eti eeh?🤔 Kumbe is time travel possible?

Poleni sana, sana, may his soul rest in peace .. Amen🙏🏼
 
Wanaingiaje nielekeze maana ninachojua ni kupiga simu , watsap na snapchat haya mengine mtihani
Ile kona kulia.. duara yenye gold. Ingia huko then subscribe to premium.
Ila ni kulipia kdg tu
AEFCCFD3-C71E-42ED-9809-54E400632F71.png
 
Nakumbukaga nilikuwa nikiingia na mwanangu mmoja hivi wanatugombania Kama mpira.

Utasikia hawa ndo wanaume Sasa wameingia.

Hapo jua tunakata boom karibia lote kisha tunaenda shindia mikate tukirudi maskani cc sumbai
ahaha! boom noma sana, usharejesha hela ya bodi ya mkopo🙂🙂🙂

boom lilikuwa likitoka ndio ulikuwa wakati wa kuvimbaa.... mie wakati nasoma home niliwaambia sijapata mkopo, wakati nimepataa.. nikawa napiga two in one aseee....
 
Back
Top Bottom