Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji4]
ERoni ningekuwa dada yako ungekuwa ushavimbiwa kitambo
IMG-20230204-WA0043.jpg
IMG-20230204-WA0044.jpg
IMG-20230204-WA0054.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli ningeumuka sana, ila nikiziidi hapa watanikimbia...upo vizuri sana Anne...hiyo unaweza kufanya mradi ukaingiza pesa kabisa.
[emoji23]
Mimi mwenyewe napenda cake

Ila huwa natamani kula nikiona sehemu,.
Nikipika Mimi hamu yote ya kula inaniisha.


Ungekuwa kama mtungi wa gesi Mihan[emoji1787],ule mdogo[emoji2098]


Nipo najifunza,kwahiyo napika za kutosha hadi walishachoka kula hapa nyumbani.
Ungekuwa huogopi watu ningekuwa nakuletea hapo Mbezi kwenye ngazi hizo za stand ya daladala[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom