AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,269
Eti eeAbiria chunga mzigo . Weekend unakuwa kuwa karibu na babe ..
Eti eeAbiria chunga mzigo . Weekend unakuwa kuwa karibu na babe ..
Kile tatizo ni cha wale mambo safi haswa!!!!!!!💰💰we si hutaki, siku ile hadi nakushika mkono unasema Huna shida na hicho chamaa unataka anzisha chako
😬😬😬 kula nyama tu ? sio kununua Jeep mpya kila miezi sitaKile tatizo ni cha wale mambo safi haswa!!!!!!!💰💰
Mi nataka kuanzisha cha maisha ya kati...hatukosi kula nyama walau mara tatu kwa mwezi.🤓
labda iwe umbali lakini mpo sehemu moja. Muhimu kuwa karibu . Watu wanawinda tu wapate nafasi .Eti ee
Kwa maisha ya kati???Nafurahia tu 🍗🥩🌭 Jeep nasubiria kuzawadiwa au umeghairi?? 🚙😬😬😬 kula nyama tu ? sio kununua Jeep mpya kila miezi sita
Kwa maisha ya kati???Nafurahia tu 🍗🥩🌭 Jeep nasubiria kuzawadiwa au umeghairi?? 🚙
Kuna matunda na kiporo cha jana....tuanze na kipi?nanjaaa kwanza, umepika nini au unajua nimefunga 😒😒😒
kiporo itapendezaKuna matunda na kiporo cha jana....tuanze na kipi?
Eendiwoooooooo Wigeeee napambana na Hare yanguuu miee humu 🙌🙌🙌🙌
Kwa kweli ningeumuka sana, ila nikiziidi hapa watanikimbia...upo vizuri sana Anne...hiyo unaweza kufanya mradi ukaingiza pesa kabisa.
ERoni ningekuwa dada yako ungekuwa ushavimbiwa kitamboView attachment 2506196View attachment 2506198View attachment 2506199
Sent using Jamii Forums mobile app
Babee😍
Kwa kweli ningeumuka sana, ila nikiziidi hapa watanikimbia...upo vizuri sana Anne...hiyo unaweza kufanya mradi ukaingiza pesa kabisa.

,ule mdogo

Umetisha my ex

keep it up Anne
ERoni ningekuwa dada yako ungekuwa ushavimbiwa kitamboView attachment 2506196View attachment 2506198View attachment 2506199
Sent using Jamii Forums mobile app