Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


ERoni ningekuwa dada yako ungekuwa ushavimbiwa kitambo
IMG-20230204-WA0043.jpg
IMG-20230204-WA0044.jpg
IMG-20230204-WA0054.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli ningeumuka sana, ila nikiziidi hapa watanikimbia...upo vizuri sana Anne...hiyo unaweza kufanya mradi ukaingiza pesa kabisa.

Mimi mwenyewe napenda cake

Ila huwa natamani kula nikiona sehemu,.
Nikipika Mimi hamu yote ya kula inaniisha.


Ungekuwa kama mtungi wa gesi Mihan,ule mdogo


Nipo najifunza,kwahiyo napika za kutosha hadi walishachoka kula hapa nyumbani.
Ungekuwa huogopi watu ningekuwa nakuletea hapo Mbezi kwenye ngazi hizo za stand ya daladala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom