Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Nagumaa! Olinkaaa munywanii!Helloowww munywaniii 🖐️! Waguma!!?
Nagumaa! Olinkaaa munywanii!Helloowww munywaniii 🖐️! Waguma!!?
Ndi omuka munywaniii ! Nabilile ebitoke ne emfuru apa naigutaaa vya hatari!😂Nagumaa! Olinkaaa munywanii!
white mwanangu sana, enzi zangu alikuwa ananipa info zote, nani mpya nani katoka.. nilikuwa nafaidi sana 😅😅😅 .. mie pale alwatanSema mwanangu we kitengo! Baunsa white yule rasta kakuachia upaki hivi hivi.
Ndo kitengo chake icho cha kula buku buku
lala basi 😅😅😅 au utu uzima dawaEcclesiates 11:4-6
Siku zote
waniita kaka,nanyimiwa nini tena mkuuBora nichelewe kulala , mambo ya kukosa usingizi saa kumi sitaki . Haujambo kaka ? National Anthem
Mimi ni Me nadhani umepata mkanganyiko kwa picha hiyo, nilimpiga shemeji yakoSiku zote
Nilijua wewe ni Me
Kumbe ni pisi ya kwenda
Modo mwenye guu la bia
Flat skrini dadek
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
nikuitaje jamani . Hakuna cha kunyimwawaniita kaka,nanyimiwa nini tena mkuu
Amekurejeshea simu eehUnataka kusemaje Mkuu Wigelekelo![]()
Antonnia una mabalaa wewe mtu 🤣🤣🤣😅Wee Mandingo unataka unitranuee chiu??????![]()
Lizzy una upaja fulani hivi nimeuelewa 😋
Huyo vita ya KageraLol hongera sana babuuuu! Na Mungu awatunzeeee nakuwalinda mzeeke pamoja mkifurahia penzi lenuu !
Nimependa Bibi alivokusubiri akakuvumilia ulipoenda kupigana vita huko Kagera babu much congratulations to you two!!!
Ups and downs ni kipimo cha uvumilivu na ukomavu kiakili. kwa busara/ hekima zako hapo bibi kapata kilicho chemaaaa!!
Enjoy the valentine and have a good night granpaahhh!!,![]()
Kupatwa kwa babuuuu hukuuu nyieeee! Naona mahaba niteketrezeeeeeee nilegezeeeee hadi kwa nyiee wazeeeee jamaneeeeee
Makubwa hayaaaa hahaaaaaa
kumbe granpa unajua kuimba hivi????
! cocastic njoo umuone babuuuu yakoo hukuu
Mpe Hongera sana na msamilie sana bibiiiiii!!
Happy Love month granpaahhh!!






ni DC sahv huyo huna habari mwayaaaa? Poleeeeeh.Weee mimi humu nawawezea wapii mkuu!! Nimeridhika na nilienae sitaki hekahekaa zahumuuu kabesaaa!!
Nimeshangaa tyuuu naonaga huyo mzee hanaga habare za mapenzi kabisa kutwa kupost ng'ombe na mitumbwi tu kumbe nae anatelezaaa as usual hahaa!!








em sema kweli.Yaniii humu
unashobokea mtu kapost ma verses unajua kakutumia wewe kumbe ni dedication kwa watu wake wote alipwapanga humu khakhakhaaaa boraa kukaa kwa password tu sitrakiii mie!







foleniiii hoyeeeeeee.Hapa ni wapiiiii?? Nitajie.