GERALD1990
Member
- Dec 9, 2022
- 93
- 279
bia
Wamama watakuuaView attachment 2503382
Leo Ndyo tbt ehh
1984 natoka copa cabana lodge naelekea de la vida lodge kwa udhamini wa jimama teddy wa ukweli
naam naam , nakupata madamIngependeza zaidi ukakomaa nae akupe mwenyewe ndugu mjumbe mi mwenyewe yakwangu yananishinda!
kitalembwa hakuna kutoa password za kijiwe cha kitaa wavamizi ndio wanafuruga amani pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!



WatakuzikaView attachment 2503382
Leo Ndyo tbt ehh
1984 natoka copa cabana lodge naelekea de la vida lodge kwa udhamini wa jimama teddy wa ukweli
Duuh nikadhani mdadaView attachment 2503382
Leo Ndyo tbt ehh
1984 natoka copa cabana lodge naelekea de la vida lodge kwa udhamini wa jimama teddy wa ukweli
Kupatwa kwa babuuuu hukuuu nyieeee😂! Naona mahaba niteketrezeeeeeee nilegezeeeee hadi kwa nyiee wazeeeee jamaneeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Makubwa hayaaaa hahaaaaaa😂😂kumbe granpa unajua kuimba hivi????🤔🤔🤔 ! cocastic njoo umuone babuuuu yakoo hukuuWacha tupunguze Stress za January 🤪
Siamini kama uko nami bebi, Na mashoga zako wanadai nimekupa nini wee.
Wanatamani niachane nawe leo, Nini watafaidika wakiona niko mbali nawe.
Hawajui nimekupa nini we, Mengi tumepita siamini kama niko nawe leo x 2
You are so sweet, My sweet love Ooh Nanaa. Uko peke yako sina mwingine zaidi yako bebi x 2
A Song by Steve RnB - Sweet Nana
Guys, kumbe tupo kwenye Mwezi wa Mapenzi, nakuta Bibi yenu tangu Jana anacheza kwenye Santuri nyimbo nzuri nzuri za mapenzi (Za akina Mbaraka Mwinshee) na amezidi kuwa Romantic licha ya Umri wetu kuwa Umesonga 🤪🤗.
Anafanya nirejeshe nyuma kumbukumbu za miaka ile ya 1978-79 namwacha mpweke wakati naelekea Vitani Kagera 😎
Hello February 🥂
Weee mimi humu nawawezea wapii mkuu!! Nimeridhika na nilienae sitaki hekahekaa zahumuuu kabesaaa!!Unampenda sema tu Antonnia
mzee wa mchongoWeee mimi humu nawawezea wapii mkuu!! Nimeridhika na nilienae sitaki hekahekaa zahumuuu kabesaaa!!
Nimeshangaa tyuuu naonaga huyo mzee hanaga habare za mapenzi kabisa kutwa kupost ng'ombe na mitumbwi tu kumbe nae anatelezaaa as usual hahaa!!















Yaniii humu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌mzee wa mchongo![]()
Wacha tupunguze Stress za January
Siamini kama uko nami bebi, Na mashoga zako wanadai nimekupa nini wee.
Wanatamani niachane nawe leo, Nini watafaidika wakiona niko mbali nawe.
Hawajui nimekupa nini we, Mengi tumepita siamini kama niko nawe leo x 2
You are so sweet, My sweet love Ooh Nanaa. Uko peke yako sina mwingine zaidi yako bebi x 2
A Song by Steve RnB - Sweet Nana
Guys, kumbe tupo kwenye Mwezi wa Mapenzi, nakuta Bibi yenu tangu Jana anacheza kwenye Santuri nyimbo nzuri nzuri za mapenzi (Za akina Mbaraka Mwinshee) na amezidi kuwa Romantic licha ya Umri wetu kuwa Umesonga.
Anafanya nirejeshe nyuma kumbukumbu za miaka ile ya 1978-79 namwacha mpweke wakati naelekea Vitani Kagera
Hello February![]()

Nifungulie password madam🤣🤣🤣🤣Yaniii humu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
unashobokea mtu kapost ma verses unajua kakutumia wewe kumbe ni dedication kwa watu wake wote alipwapanga humu khakhakhaaaa boraa kukaa kwa password tu sitrakiii mie!
Muda si mrefuUnampenda sema tu Antonnia
Kwa mitego yake IleWeee mimi humu nawawezea wapii mkuu!! Nimeridhika na nilienae sitaki hekahekaa zahumuuu kabesaaa!!
Nimeshangaa tyuuu naonaga huyo mzee hanaga habare za mapenzi kabisa kutwa kupost ng'ombe na mitumbwi tu kumbe nae anatelezaaa as usual hahaa!!