cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,237
Wachaaa wee!!
Haha usiniambie uliwahi wachakataa;
Dah sema Mimi kipindi hicho nilikuwa domo zege Sana.
Nilikuwa mzee wa kuzoom na kula kwa macho
Saa Saba Saba nilikuwa nakuja kutega kwenye hili daraja hapa na kula kwa macho tu.
View attachment 2504079







ndo hapaaa niliwahi kuinamishwaa na genius.Lol hongera sana babuuuu! Na Mungu awatunzeeee nakuwalinda mzeeke pamoja mkifurahia penzi lenuu !
Nimependa Bibi alivokusubiri akakuvumilia ulipoenda kupigana vita huko Kagera babu much congratulations to you two!!!
Ups and downs ni kipimo cha uvumilivu na ukomavu kiakili. kwa busara/ hekima zako hapo bibi kapata kilicho chemaaaa!!
Enjoy the valentine and have a good night granpaahhh!!,![]()








khaaaaahLabda kamaKesho nitawapaa moment ya leo.
Siku nzuriiii 2/2.
Iliyotokea alhamic, tar 2/2Labda kama
Unamaanisha jumamosi
Ijumaa mbona ndio hii
Weka vitu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Leo tar.3/2Iliyotokea alhamic, tar 2/2





asubuhiAsubuhiiii.
Coco beach🏖️Hapa ni wapiiiii?? Nitajie.
Hakuna genius wa hovyo kama huyo!ndo hapaaa niliwahi kuinamishwaa na genius.
Jack Palladino wee lekchaaa umepaonaa ulisema kuna CCTV??
Mambo nasubiria momentAsubuhiiii.
Nini cocasticWachaaa wee!!
Food tester WA daruso barHahaha pamoja na kuwa desa boy! Ila hollah. Bado nilitoka mtupu.
walau walau nilivokuwa food tester nilianza na wapishi.





Mnaona paka sodaHahaha pamoja na kuwa desa boy! Ila hollah. Bado nilitoka mtupu.
walau walau nilivokuwa food tester nilianza na wapishi.
Oooh hapooo sawaah!!!Coco beach![]()