Hiyo dhambi itakutafuna milele ulimompoteza kabisa Ntiluseswa na sasa unakaribia kumchimbia jeneza Mjep 😥khaaaah wee sijamfilisi mie, muulize vizuri.
Alikutana na wavamiaji wakamsaulaa yoteee.
Hiyo dhambi itakutafuna milele ulimompoteza kabisa Ntiluseswa na sasa unakaribia kumchimbia jeneza Mjep![]()







Kalivyo kapole hivyoItakua mimba dea sio buree.![]()
Maandalizi?tupo kwenye maandalizi hahaha
Wewe utaruuka me nakucheki tu,, ukinasa kwa hii grip,, utaingia kwenye chupa mwenyewe bila kulazimishwathubutuuuuu!!! Hata km nimgekuwepo badoo.
Usingefanyaa chochoteee, na huweziii kwan
Kalivyo kapole hivyo
Kwani kameshaanza
Kufanywa matusi?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app





mie nimesemaa tyuuh, cjuii km kaanza au badoo.Wewe utaruuka me nakucheki tu,, ukinasa kwa hii grip,, utaingia kwenye chupa mwenyewe bila kulazimishwa





wee mchumbaa em hukooo, nlishavuka hizo level. Usinishushee khaaaaahHapo ndio akapoteana kabisaMjep yuko usukumani bariadi hajawahi kufinyiwa kwa ndani kwanini umfinyie kwa ndani alafu umevaa shanga kiunoni za kilo 20 una nia gani. Na kwanini umuogeshe na maji ya iliki na karafuu. We endelea tu
Mie sio mtu wa Pwani, hayo siyajui. Huyo kalowea kiuno km feni mbovu iliyolosa break.Mjep yuko usukumani bariadi hajawahi kufinyiwa kwa ndani kwanini umfinyie kwa ndani alafu umevaa shanga kiunoni za kilo 20 una nia gani. Na kwanini umuogeshe na maji ya iliki na karafuu. We endelea tu







Mimba Ina njia nyinginemie nimesemaa tyuuh, cjuii km kaanza au badoo.
Hapo ndio akapoteana kabisa
Mida kama hii vocha watu
Tunagombea
Lakini alivyompata jini madhara
Alinyonywa damu yote ya ukwasi
Mjep kapooza asee
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app








tobaaaaaaaah wee tumbo linaumaa kwa kuchekaaaa.Zipo yes
Mimba tamuZipo yes
Mchumba for sure sie ni wale wazee wa stealth, patience, accuracy and speed,, huchomoiwee mchumbaa em hukooo, nlishavuka hizo level. Usinishushee khaaaaah

af wewe ni mwendo wa biskuti kila siku
Oooooh hapo sawaaa.Mimba tamu
Ni kufanya matusi
Hizo njia nyingine
Ni ubatili
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
😂 Aisee uko on point kabisaaa yaani Mjep kapowa utasema jogoo lililonyeshewa na mvua 😂😂 hata kuwika haliweziHapo ndio akapoteana kabisa
Mida kama hii vocha watu
Tunagombea
Lakini alivyompata jini madhara
Alinyonywa damu yote ya ukwasi
Mjep kapooza asee
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Mchumba for sure sie ni wale wazee wa stealth, patience, accuracy and speed,, huchomoiaf wewe ni mwendo wa biskuti kila siku
![]()





unachekesha sanaaa wee, au navojichetua akili hapaa unahisi ni wa kawaidaa sanaa eeeh? Narudia tena nlishavuka hizo level. 








Endelea kuweka kambi mzee Mswati🤣🤣🤣 (it won't be long)Kuanzia leo mimi ni kama mandonga tu ninakutaka na ukinikataa kama umenikubali tu🤣🤣🤣 huo mtongozo unaitwa ndoige...