Nipo bestKaka upoo?
Mzima wewe?
Nipo bestKaka upoo?
Na sisi tunaitamani sana huku mikoani ila ndo hivyo inanyesha huko Darimekata eh maana ingekuwa balaa . Mvua kama hii ni ya kunyesha mikoani ya kilimo
Kuwa na huruma na Wazee🤪
Ingekuwa enzi zangu miaka Ile ya '47 hapo sawa, ila saivi mtanionea Bure Babu yenu 🤗Eti bibienu
Hapo udenda unakutoka
Moyoni unafurahia hatari
Babu la mchongo
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Inyeshe huko tu , tupunguze ukali wa maisha mchele kilo moja 3500 . mwaka huu inaonekana mvua nyingiNa sisi tunaitamani sana huku mikoani ila ndo hivyo inanyesha huko Dar
Badala ya kwenda kanisani unaamkia maembe mabichi? Shindwa pepo ka maembe.Kumbe maembe mabichi matamu hivi hahaha
Madam tayari eeh?😁😁😁Kumbe maembe mabichi matamu hivi hahaha
hahaha pastor P, Yani ningeanza kula toka usiku nikasema ngoja kukuche . nilifaidi vizuri .Badala ya kwenda kanisani unaamkia maembe mabichi? Shindwa pepo ka maembe.
tupo kwenye maandalizi hahahaMadam tayari eeh?
Jitahidi kuamka alfajuri mapema ufanye sala kwa mola wako kisha unywe maji ya uvuguvugu na mazoezi kidogo kisha ukaoge na maji ya uvuguvugu na sio ya moto wala ya baridi.hahaha pastor P, Yani ningeanza kula toka usiku nikasema ngoja kukuche . nilifaidi vizuri .
Vocha nilifirisika nilikula kamtaji kote chief kibanda nikafungaZa asubuhi mshua master Mjep embu tubless na vocha tupunguze ukali wa maisha kidogo.
asante sana kwa mwongozo hapo kwenye mazoezi ndo sijui kama nitaweza . Mie mazoezi yangu ni kutembea kwa mguuJitahidi kuamka alfajuri mapema ufanye sala kwa mola wako kisha unywe maji ya uvuguvugu na mazoezi kidogo kisha ukaoge na maji ya uvuguvugu na sio ya moto wala ya baridi.
Mungu akubariki Chief . akuketishe na wakuu . uimarike maradufuVocha nilifirisika nilikula kamtaji kote chief kibanda nikafunga
Niombee nikifufue
Jitahidi kubadili na ratiba zako za chakula usipende kula kula ovyo funza weka mazoea na ratiba ya chakula.asante sana kwa mwongozo hapo kwenye mazoezi ndo sijui kama nitaweza . Mie mazoezi yangu ni kutembea kwa mguu
Ndyoooooh
Itakua mimba dea sio buree.Kumbe maembe mabichi matamu hivi hahaha






Vocha nilifirisika nilikula kamtaji kote chief kibanda nikafunga
Niombee nikifufue








