Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,515
- 19,007
Nimeweka couples za hapa selfika ambazo ziko hai na zinapendana na haziwezi achana! 😂 Watu na wapenzi wenu raraa reree huoni penzi la Depal na Lenie lilivyo na nguvu.Kwann mimi na lovie Poker 😁
Nimeweka couples za hapa selfika ambazo ziko hai na zinapendana na haziwezi achana! 😂 Watu na wapenzi wenu raraa reree huoni penzi la Depal na Lenie lilivyo na nguvu.Kwann mimi na lovie Poker 😁
Hapo unanukia vizuri mwili, room, mambo ya service room tu, mkitoka ni beach kwenda kuangalia jua linavyozama, mkitembea pembeni mwa bahari National Anthemkama nakuona vileeee 😀😀😀View attachment 2490002View attachment 2490003
oh unayo mazuri piaNi dawaaa tyuuh dear![]()
Yupo mdogo wangu hapa ananisindikiza kununua mboga, nije kuwapikia ugaliweer kachume mchimcha kwanza 😒😒😒 na usinisemeshe 🥲🥲🥲.. hapo pembeni najua yupo Pakistan Boy
OK sawa bruhNimeweka couples za hapa selfika ambazo ziko hai na zinapendana na haziwezi achana! 😂 Watu na wapenzi wenu raraa reree huoni penzi la Depal na Lenie lilivyo na nguvu.
au nakukula kwanza ndio nakusukumia motoni 🤣🤣hebu hukooo na hamnipatiiiiiii kamweee.
au nakukula kwanza ndio nakusukumia motoni![]()





afu kwann watu wakikataliwa ndo wanakuagaa bitter sanaaaa. 





Kuanzia leo mimi ni kama mandonga tu ninakutaka na ukinikataa kama umenikubali tu🤣🤣🤣 huo mtongozo unaitwa ndoige...Kwahyo ulikua me nyanyachungu, sijapentaaaa
Na lina nguvu si kitotoNimeweka couples za hapa selfika ambazo ziko hai na zinapendana na haziwezi achana! 😂 Watu na wapenzi wenu raraa reree huoni penzi la Depal na Lenie lilivyo na nguvu.
😹😹😹 dah!Nimeweka couples za hapa selfika ambazo ziko hai na zinapendana na haziwezi achana! 😂 Watu na wapenzi wenu raraa reree huoni penzi la Depal na Lenie lilivyo na nguvu.
Yes Mungu kanipa meno meupeee, acha babee angu apendee dendaa, afu analambaa meno yangu. Na mate yangu anamezaaa.oh unayo mazuri pia




Leo naona umeamka na akili za kazi na bata 🤣🤣🤣kama nakuona vileeee 😀😀😀View attachment 2490002View attachment 2490003
No mara waaaaaKapo imepigwa lamination hii 😍
na kwanini umkatalie mtu kumpa maku, huku umeikuta tu,afu kwann watu wakikataliwa ndo wanakuagaa bitter sanaaaa.
Kuna jamaaa ameanzaa kunifuatilia tangu tuko 1St yr kitendo cha kumkataaa, yaan anafanyaaa kila namna niumiee.
Ananikutaaa hata sishtukiii.
Huko motoniii mie hamnikutiiii hataaa.
Nitaketi kuume kwa baba. Nikisifu na kuabuduuu.
No mara waah mtt Lenie umejibebaaa 😍No mara waaaaa
Until death do us apart 😂😂No mara waaaaa